joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mkuu, wewe unamwona Samia mjanja sana kwa Magufuli kufa akawa Rais? Siyo wote wanapenda siasa ati. Actually, wapenda siasa ni wachache sana. Wakati Taifa la Isarel linaundwa 1947, Albert Einstein aliombwa kwenda kuwa Rais wao wa kwanza, akakataa.
Simuoni mjanja kuwa Rais
Nachomaanisha pamoja na kuwa na matokeo yasiyo mazuri shuleni bado hakukata tamaa
U Rais ni ngazi ya mwisho kabisa…ametokea mbali sana na mapito mengi sana kuanzia kujiendeleza hadi kufikia ngazi mbalimbali ikiwemo kuwa Mkuu wa taasisi za kimataifa kanda ya Tanzania kwa muda mrefu tu
Confidence yake kwny maeneo mengi aliyopita wengi tu wenye matokeo mazuri zaid yake hawana
Katika mazingira yetu, wengi wanaofanikiwa ni wenye elimu. Na elimu maana yake siyo tu div 1 point 7 ya form iv. Hata Samia ana elimu japo hakuwa Tanzania One.
Ndo maana vyuoni hawaonekaniSt francis mbeya ni kawaida yao. Ufaulu wao haujaanza jana wala leo.
Kwanza unakuta topic za form 4 walishazimaliza wakiwa form 3. Wakiingia form 4 ni kujifunza jinsi ya kujibu mitihani kwa kufanya past papers. Likizo hamna kwenda na madaftari wala hamna kusoma tuition.
Kwanza huo mchakato wa kupata nafasi pale unaufahamu vizuri? Ndungu yangu pale wanakwenda top cream,nina watoto wawili nawafahamu wamepita pale na wote wametoka na GPA ya 3.9 na 3.8 UDSM tena Civil Engineering na Geology.Tukubali tu pale wanakwenda watoto walio vizuri kichwani.Unalosema ni kweli, angalia A zao ni za yale masomo ambayo wakipiga past paper za kutosha lazima wapate A. Waangalie katika physics Wana C na B za kutosha. Mwanafunzi akifundishwa vizuri mitihani ya kidato cha 4 ni rahisi sana kwa masomo ya sanaa.
Kama sio chuki..tupe ushahidi kwa hizi tuhuma zako..Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa ,na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......
Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivo ,never ever ,....
Hapa bongo ukishakiwa na pesa hakuna kinachoshinfikana ,pepar za necta zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...
Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....
Niamaini Mimi haya nayoyasema
Wanadhani Wakatoliki huwa wana mchezo kwa ElimuWanauziwa na nani...Msonde/Necta?
Elimu ni ya katoliki.Nenda kajifunze Kanisani walioleta elimu.
Katafute nafasi ya kidato Cha kwanza uone paper la mchujo atakalopewa mwanao wale wanachukua cream ya std 7 Kisha wanaenda kuinenepeshaMaswali mepesi lakini mbona wanafunzi wengine kule Kazulamimba wanafeli? Hawa watoe strategies tujue wengine waige vipi. Inaniuma kuona karne hii wanafunzi wanashindwa kufaulu hata kidato cha nne. Kuna jamaa yangu alifeli form 2 nilisoma name shule moja ya ajabu ajabu uko. Juzi akanambia eti daktari alivyompima akamwambia anaumwa ugonjwa unaitwa "INFECTIONS", nikamuuliza mara mbili na akasisitiza sana.
Sasa taifa linakuwa na watu wa hivi hata kutumia mbolea shambani hawataweza, lishe kwa watoto hawawezi, uzalishaji wao kitaifa ni duni. Shule walienda kuishi, kuvaa sweta na kunywa uji. Elimu ya bongo hasa uswahilini uko ni ile wazazi wanawaambia watoto wao wakiwa wamefunga eti "mmetuchosha hebu shule zifunguliwe wazazi tupumzike". Hapo usitegemee maajabu ya kufaulu. Sasa hawa waliofaulu wangetoa strategies imekuwaje ingesaidia wengine
Vijana wengi 0Elimu ya siku hizi imekuwa mdebwedo sana! Ukitaka kujua hili waulize walimu wa vyuo na waajiri. Binafsi sio Mara moja nimewafanyia interview vijana kwenye mambo ya kazi na naishia kusikitika jinsi uelewa wao ulivo wa mashaka
Sikuhizi kuwa ni A sio kutoboa kimaisha Kuna other factors tofauti na enzi za uhuru, so watoto wafunzwe na mengineyo nje ya kupata A tu za kwenye makaratasiKatika mazingira yetu, wengi wanaofanikiwa ni wenye elimu. Na elimu maana yake siyo tu div 1 point 7 ya form iv. Hata Samia ana elimu japo hakuwa Tanzania One.
Shule za wavaa makobazi vipi?
[emoji108]Sio kwamba hawafundishi ila naomba kujua data kama tatu:-
Wote walioingia walikuwa na Passmark kiasi gani (creme de la cream)
Michujo ilifanyika kiasi gani (yaani potential failures wote kuondolewa)
Ufundishaji mzuri na kulenga mitihani (sijajua uelewa wa hawa vijana wala thinking capacity yao ila Mitihani hii ilivyo unaweza ulenga mitihani kwa kukariri hata kama thinking capacity yako ni ndogo)
Kwahio binafsi ubora wa shule naupima kwa mtu kumtoa point A kwenda B; bila mchujo wala kuchagua wanaojiweza pekee..., kama mtu amekuja hajui kitu na after four years akapata hata three huenda shule hio imefanya kazi kuliko kuchukua the best na katika hao best wale wote ambao ni better kuwabakisha madarasa (hio haijengi sababu hata Div 1 mpaka Three kwa form four bado ni ufaulu na kuna a long way forward na kuna a room for improvement
Huo ndio ukweli wangu na experience nidaganye Ili iweje, nyooko hoja hupigwa kwa hoja haya elezea na wewe experience yako idiot.t
Kama una mtoto ni average pale hana nafasi,hakuna blah blah,mtoto Kipanga atapeta,akiwa slow learner wewe tafuta kwingine,St.Francis wala usiifikirie kichwani mwako,nyingine ni Cannosa na Marian,hizo usisogelee pia.Katafute nafasi ya kidato Cha kwanza uone paper la mchujo atakalopewa mwanao wale wanachukua cream ya std 7 Kisha wanaenda kuinenepesha