St. Francis Mbeya kuna siri gani?

St. Francis Mbeya kuna siri gani?

Hivi pale St Francis Girls Mbeya, pana siri gani wazee? Mwaka huu licha ya kwamba imekua ya pili kitaifa lakini ufaulu wake ni wa ajabu na kuogofya sana.

Picha linaanza darasa lina watahiniwa 92 ambao wote wamepata div 1, hii si ajabu sana ajabu ni hili hapa kati ya hizo 1- 92, div 1.7 ambazo ndo ufaulu wa juu kabisa nchi hii kwa upande wa olevel zipo 79 yani 1.7 pale St Francis Girls zipo 79 kama utapata shida kuelewa na maanisha hivi wanafunzi waliopta A saba kwenye jumla la masomo yao wapo 79.

Mwanafunzi wa mwisho pale yani mwenye ufaulu dhaifu au unaweza kuuita goigoi ama kilaza, mmoja ana div 1.14 na mwingine ana div 1.13 na wapo wawili pekee.


Mabinti wamejua kukung'uta aisee div 1.10 ipo moja, 1.9 zipo 6 na 1.8 zipo 4


Kama unadhani maajabu yao mwaka huu ni hayo tu basi Pole mabinti hawa wameendeleza maajabu mpaka kwenye Wanafunzi bora ambapo kumi bora imepambwa na wao.Hatari sana hii mwanafunzi 1-5 kwenye kumi bora anatoka kwao afu wanajichomeka others kwenye 6,kisha namba 7 wanarudi wao afu 8,9 wanajikongoja fedha na ilboru kisha kumi kitabe kabisa wanamaliza wao.Kifupi 10 bora wanafunzi 7 wote wametoka St FRANCIS.

1. Consolata Prosper Luguva - St. Francis Mbeya🔴

2. Butoi Ernest Kangaza - St. Francis🔴

3. Wllhemia Steven - St. Francis 🔴

4. Cronel John - St Francis🔴

5. Merry George Ngoso - St Francis🔴

6. Holly Beda Lyimo - Bright Future
Girls🔴

7. Brandina - St. Francis🔴

8. Imamu Suleiman - Feza Boys

9. Mfalme Hamis Madili - Ilboru

10. Clara Straton - St. Francis🔴


Huu ufauru si wa kitoto sasa nauliza siri yao hasa ni ipi maana tangu miaka hiyo hawa mabinti wamekua moto ina maana shule zingine wameshindwa kabisa kujifunza?

View attachment 2082037

View attachment 2082038
Hizi one zingekuwa zinaonekana kwenye mchango wa maendeleo ya taifa tungekuwa mbali.
 
Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa ,na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......

Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivo ,never ever ,....

Hapa bongo ukishakiwa na pesa hakuna kinachoshinfikana ,pepar za necta zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...

Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....


Niamaini Mimi haya nayoyasema
Mtu mzima kuwa muongo kwa kiwango hiki ni aibu kubwa sana,itendee haki JF,usitake kutufanya sote hapa ni hamnazo.Sote tunajua mchujo mkali kuanzia kupata nafasi pale, Mkuu usiwe na hasira kama mtoto wako hakufaulu vizuri kiasi cha kutuletea blah blah hapa.
 
Kama mtuani wa tume ulifuja na kupelekea mpk sas hawajatangaza Ni hatar sna wa iliboru respect


Ingawa pia utungaji wa mitiani hz za daras la sba Ni za kuchagua zote unashindwaje kuotee maaswal ukienda secondaries hawakunyi maswali San Kam zamani zetu 2005
 
Kufaulu hiyp mitihani sio kitu cha ajabu kabisa. Nawashangaa hata wanaodhani kua shule inanunua mitiani.

Maswali huwa hayabadili saana, mwalimu akikomaa na past papers ni rahisi kufaulisha namna hiyo.

Mtu unajua kabisa section A inatoa maswali kuhusu hiki na kile, section B ni mada hizi na hizi hivi kweli ushindwe kupasua ukiwa makini.

Wanajituma acha wafaulu
Pia aina ya watoto wanaokwenda pale ni top cream kuanzia walikotoka,halafu mtu anatuletea hapa hadithi za Shule kununua mitihani😂
 
Kufaulu hiyp mitihani sio kitu cha ajabu kabisa. Nawashangaa hata wanaodhani kua shule inanunua mitiani.

Maswali huwa hayabadili saana, mwalimu akikomaa na past papers ni rahisi kufaulisha namna hiyo.

Mtu unajua kabisa section A inatoa maswali kuhusu hiki na kile, section B ni mada hizi na hizi hivi kweli ushindwe kupasua ukiwa makini.

Wanajituma acha wafaulu
Unalosema ni kweli, angalia A zao ni za yale masomo ambayo wakipiga past paper za kutosha lazima wapate A. Waangalie katika physics Wana C na B za kutosha. Mwanafunzi akifundishwa vizuri mitihani ya kidato cha 4 ni rahisi sana kwa masomo ya sanaa.
 
Mitihani ya siku hizi hamna kitu 1. Rais wa kwanza wa Tanzania ni nyerer......... 2. Binadamu ana macho mawi.......
Pole sana ndugu. Mitihani ya siku hizi ni Competence Based Curriculum (CBC). Ni mitihani migumu kuliko ya zamani sema watu wanaichukulia poa kwasababu ya maswali mengi kuwa ya multiple choice. Lakini ukitaka kujua mitihani ya multiple choice ni migumu waulize madaktari.
 
Hivi pale St Francis Girls Mbeya, pana siri gani wazee? Mwaka huu licha ya kwamba imekua ya pili kitaifa lakini ufaulu wake ni wa ajabu na kuogofya sana.

Picha linaanza darasa lina watahiniwa 92 ambao wote wamepata div 1, hii si ajabu sana ajabu ni hili hapa kati ya hizo 1- 92, div 1.7 ambazo ndo ufaulu wa juu kabisa nchi hii kwa upande wa olevel zipo 79 yani 1.7 pale St Francis Girls zipo 79 kama utapata shida kuelewa na maanisha hivi wanafunzi waliopta A saba kwenye jumla la masomo yao wapo 79.

Mwanafunzi wa mwisho pale yani mwenye ufaulu dhaifu au unaweza kuuita goigoi ama kilaza, mmoja ana div 1.14 na mwingine ana div 1.13 na wapo wawili pekee.


Mabinti wamejua kukung'uta aisee div 1.10 ipo moja, 1.9 zipo 6 na 1.8 zipo 4


Kama unadhani maajabu yao mwaka huu ni hayo tu basi Pole mabinti hawa wameendeleza maajabu mpaka kwenye Wanafunzi bora ambapo kumi bora imepambwa na wao.Hatari sana hii mwanafunzi 1-5 kwenye kumi bora anatoka kwao afu wanajichomeka others kwenye 6,kisha namba 7 wanarudi wao afu 8,9 wanajikongoja fedha na ilboru kisha kumi kitabe kabisa wanamaliza wao.Kifupi 10 bora wanafunzi 7 wote wametoka St FRANCIS.

1. Consolata Prosper Luguva - St. Francis Mbeya🔴

2. Butoi Ernest Kangaza - St. Francis🔴

3. Wllhemia Steven - St. Francis 🔴

4. Cronel John - St Francis🔴

5. Merry George Ngoso - St Francis🔴

6. Holly Beda Lyimo - Bright Future
Girls🔴

7. Brandina - St. Francis🔴

8. Imamu Suleiman - Feza Boys

9. Mfalme Hamis Madili - Ilboru

10. Clara Straton - St. Francis🔴


Huu ufauru si wa kitoto sasa nauliza siri yao hasa ni ipi maana tangu miaka hiyo hawa mabinti wamekua moto ina maana shule zingine wameshindwa kabisa kujifunza?

View attachment 2082037

View attachment 2082038
Kama hakuna Janja Janja Nadhani ni uwezekazaji mzuri katika Elimu
 
Mimi binafsi nakataaa hayo matokeo aisee ,hata kama Wana akili huo ufaulu wa kiasi hicho Kuna kitu cha ziada ...hio shule ichunguzwe vzuri kuanzia miezi mitatu kabla ya kufanya mtihani na siku za mitihani
Ni hivi; kwanza tuelewe, kabla ya kuwachuja wanafunzi wanaochukuliwa, tukumbuke hata walimu waliochukuliwa (wanaofundisha pale), nao wamechujwa. Sasa hebu pata picha hapo; mwalimu amechujwa na mwanafunzi amechujwa (nadhani jibu unalo).

Jambo la pili, hawataki kuharibu (kupoteza sifa yao), hivyo wana mikakati (strategies) maalumu ya ufundishaji. Mwalimu anamjua kila mwanafunzi, uwezo na udhaifu (strengths and weaknesses), hivyo, penye mapungufu mikakati maalumu hufanywa na hatimaye kuziba pengo hilo. Unaweza kukuta hata ile prep, mwalimu anaingia na kuziba magap yote mpaka ahakikishe amejiridhisha. Hivyo, hakuna mwanafunzi anayeachwa nyuma, wote wanaenda sambamba; na ndio ufaulu huu tunaouona. Labda huu ndio uchawi wanaofanya.
 
Mkuu hakuna ufaulu wa namna hio ,kwa hio ratio ....

Hapo ni wazi kabisa wamenunua mtihani na kusolve ...

Hakuna kitu kama hicho ,watoto wa kitanzania Mimi nawajua ,kuapata div 1.7 kaa watoto wote sio kwa uwezo wao ,japo wenye uwezo wapo lakin sio kwa hio idadi kabisa ...


Mimi nakataa kabisa 🤣
Kwa hiyo hii shule tangu miaka ya 1990 wananunua mitihani na bado necta hawajawastukia! Necta imekuwa na wafanyakazi tofauti tofauti tangu miaka hiyo, je wote wanaopelekwa hapo ni corrupt kiasi hicho?

Fanya homework yako vizuri na siyo kuwapaka matope!
 
Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa ,na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......

Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivo ,never ever ,....

Hapa bongo ukishakiwa na pesa hakuna kinachoshinfikana ,pepar za necta zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...

Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....


Niamaini Mimi haya nayoyasema
Achana na mawazo hayo. Unataka kusema shule nyingine zote za Tanzania zimekosa hela ya kununua mitihani na kuiacha st. Francis iongoze miaka yooote hiyo??
 
Mimi nimesoma chuo na watoto wanaotoka hizo shule mkuu ...

Siku ya mtihani wanakutana na maswali waliyokuwa wanasolve mwezi mmoja kabla ya necta ...

Sio kwamba siku ya mtihani wanasoviwa hapa ,ila pepar linasoviwa week kadhaa kbala ya necta na hayo maswali ndio yanatoka necta ,mbaya zaidi walimu wanawasisitiza ,.

Usiwe mjinga kuelewa mambo yanayoendelea huko ...

Wananunua mtihani ,pamoja na kuwa na mazingira mazuri ya kusomea ,walimu wazuri ,malazi ,na ufundishaji mzuri ....wananunua mtihani mkuu ....
Hapo chini umeongea vizuri. Siri ya mafanikio ni mazingira mazuri pamoja na walimu wazuri. Kamawangekua wanategemea kusoviwa maswali basi wasingekua wanazingatia sana ile interview wanazowafanyia watoto wanapojiunga kidato cha kwanza.
Zile interview zinawasaidia wao kuchagua watoto bright "ZAIDI" na kuanza nao safari ya Olevel
 
Hio shule inanunua mitihani na kufanya mwezi mmoja kabla ya mitihani ya taifa ,na huwa maswali yanarudiwa kwa msisitizo mkubwa Sana ......

Hao watoto wanaomaliza huko hawana uwezo kabisa wa kufaulu hivo ,never ever ,....

Hapa bongo ukishakiwa na pesa hakuna kinachoshinfikana ,pepar za necta zinanunuliwa na watoto Wana solve mapema kabisa ...

Hio shule ada yake tu unaweza kula mwaka mzima ,kununua pepar wizaran kupitia kwa mamuruki ni kitu rahisi Sana .....mbaya zaidi wafanyakazi wengi wa serikali dawa yao ni pesa ,kwa million 20 anakuletea pepar la necta lotee mwezi mmoja kabla .....


Niamaini Mimi haya nayoyasema
Acha kudanganya watu hadharani hivi nina uhakika hata ilipo shule hii hujui na pili hujui kitu chochote kuihusu shule hiyo ndugu yangu zaidi ya chuki na wivuu hebu badilika aiseee
 
Mimi nimesoma chuo na watoto wanaotoka hizo shule mkuu ...

Siku ya mtihani wanakutana na maswali waliyokuwa wanasolve mwezi mmoja kabla ya necta ...

Sio kwamba siku ya mtihani wanasoviwa hapa ,ila pepar linasoviwa week kadhaa kbala ya necta na hayo maswali ndio yanatoka necta ,mbaya zaidi walimu wanawasisitiza ,.

Usiwe mjinga kuelewa mambo yanayoendelea huko ...

Wananunua mtihani ,pamoja na kuwa na mazingira mazuri ya kusomea ,walimu wazuri ,malazi ,na ufundishaji mzuri ....wananunua mtihani mkuu ....
Hivi unataka kutuaminisha mnunuzi wa paper ni St.Francis tu na ndiyo maana wanafaulu kwamba miaka yote wameingia ubia wa kuuziwa paper! Hapa ndiyo tunakwama kupata ukweli badala ya kujifunza kutoka kwao namna wanavyofanikiwa tunajipoza kwa wananunua paper ndiyo tumemaliza
 
20220115_175240.jpg
 
Sio kwamba hawafundishi ila naomba kujua data kama tatu:-

Wote walioingia walikuwa na Passmark kiasi gani (creme de la cream)
Michujo ilifanyika kiasi gani (yaani potential failures wote kuondolewa)
Ufundishaji mzuri na kulenga mitihani (sijajua uelewa wa hawa vijana wala thinking capacity yao ila Mitihani hii ilivyo unaweza ulenga mitihani kwa kukariri hata kama thinking capacity yako ni ndogo)

Kwahio binafsi ubora wa shule naupima kwa mtu kumtoa point A kwenda B; bila mchujo wala kuchagua wanaojiweza pekee..., kama mtu amekuja hajui kitu na after four years akapata hata three huenda shule hio imefanya kazi kuliko kuchukua the best na katika hao best wale wote ambao ni better kuwabakisha madarasa (hio haijengi sababu hata Div 1 mpaka Three kwa form four bado ni ufaulu na kuna a long way forward na kuna a room for improvement
Mkuu kwenye Aya ya mwisho nimependa maoni yako, mdogo wangu alikuwa bogus kabisa, tukamhamishia shule X ipo mkoa X, alivyofika pale wakatushauri aanze form one, kipindi hicho alikuwa form 2, akaanza form one, kwenye matokeo yake ya form four, alimaliza na Div 3. Wote tulipigwa na butwaa maana hatukugemea, Kama angejitahidi kiasi kile
 
Back
Top Bottom