St. James Church Arusha 1959

mkuu kama nakufananisha.........hatujawahi kupigana pale mashujaa kweli.......au vile vita na Naura primary kule mtoni umewahi kushiriki....?...kwanza head teacher wako alikuwa nani...? marehemu Anna Swai au Mrs Mwenera......?


hahaaa! Umenkumbusha mbali Preta vile vita nimeshiriki sana tu! Nilianza Shule ilikuwa chini Mwl. Anna Swai RIP then nikiwa la 5 ka ckosei hivi Mwl. Mwenera akawa mkuu...
 
hahaaa! Umenkumbusha mbali Preta vile vita nimeshiriki sana tu! Nilianza Shule ilikuwa chini Mwl. Anna Swai RIP then nikiwa la 5 ka ckosei hivi Mwl. Mwenera akawa mkuu...

unaona sasa......we skuli mate kabisa.....duh.....barafu za kwa bibi utakuwa umekula wewe........ngubiti na mabumunda.......them swit dayz.....
 
 
 
 
hilo kanisa ni la catholic au anglican?

Ni Anglican ni pamoja na Christ Church njia ya kwenda mahakamani. St. James ilikuwa kwa ajili ya waswahili na Christ church kwa ajili ya wazungu kumbuka ni kabla ya hata kufikiria mambo ya uhuru. Kama sikosei ni 1936
 
 
Ile kwaya wanaimba beatrice muhone na mumewe ipo? Nimetafuta cd yao ina wimbo wa usinipite mwokozi hadi nimechina.

halafu huyo kahamia kanisa la kimandolu, siku hizi hayupo tena na hiyo kwaya, alifanyaga uzinduzi wa albam yake Naura Spring wakajaa watoto watupu, apunguze maringo huyo mdada, mume wake mpole kama nini mnyasa wa watu yeye kucheka cheka tu na kila mtu, laigwan alimpa kiburi sijui waliishia wapi...
 
Mwl Mwenera anayekijana wake ana maringo utadhani shoga kuna wakati alikuwa akisoma Nairobi sijui siku hizi yuko mitaa gani.


 
Duh mume wake rafiki yangu sana siku hizi anaegesha gari [Noah] maeneo ya EA hotel ni shabiki mzuri wa Arsenal FC.Beatrice shule yake ndogo sana nadhani ni eneo linalomsumbua sana hana jipya anadhani kuwakumbatia wanasiasa wenye majina ni deal kubwa.

 
Duh mume wake rafiki yangu sana siku hizi anaegesha gari [Noah] maeneo ya EA hotel ni shabiki mzuri wa Arsenal FC.Beatrice shule yake ndogo sana nadhani ni eneo linalomsumbua sana hana jipya anadhani kuwakumbatia wanasiasa wenye majina ni deal kubwa.

mume bado anaendelea na kwaya tena ni kiongozi wa kwaya,ile nyumba yao ya wapangaji ilboru nilikuwa naizimia, ipo eneo zuri pia, khaa mwanamke akaiuza, yule dada sijui ana fikiria nini kwenye haya maisha, nikianza kumuongelea hapa sitammaliza wacha ninyamaze tu.
 
Mwl Mwenera anayekijana wake ana maringo utadhani shoga kuna wakati alikuwa akisoma Nairobi sijui siku hizi yuko mitaa gani.


sijamuona muda mrefu sana huyo kijana, ana maringo kama ya dadake Gilda, pale mtu alikuwa Koku tu
 
Nakaribia kureveal your actual names kutokana na hizo stori zinazotiririka hapa!
 
Nakaribia kureveal your actual names kutokana na hizo stori zinazotiririka hapa!

acha zako wewe tiririka na thread achana na mengineyo, Jabulani, hivi hiko kibaa bado kipo? khaa nilishagida pale wakati fulani, sijapita hiyo njia long time.
 
Haa ha ha Nyamayao kumbe mpaka mitaa ya Jabulani unapita basi mwenzako siku hizi kuna kapub mitaa hiyo hiyo kanaitwa XL Pub siku za jumamosi napenda kutazama mipira ligi ya UK watu wakizidi nahamia EA Hotel.

acha zako wewe tiririka na thread achana na mengineyo, Jabulani, hivi hiko kibaa bado kipo? khaa nilishagida pale wakati fulani, sijapita hiyo njia long time.
 
Last edited by a moderator:
Haa ha ha Nyamayao kumbe mpaka mitaa ya Jabulani unapita basi mwenzako siku hizi kuna kapub mitaa hiyo hiyo kanaitwa XL Pub siku za jumamosi napenda kutazama mipira ligi ya UK watu wakizidi nahamia EA Hotel.


basi Ngongo tutakuwa tumeshakumbana tu, EA nahudhuria mara nyingi jmosi na jipili kumsindikiza mr ku watch, napo palianza kujaa wakati wa mechi pakawa kama bar za uswahilini..sijapita huko long time, ntapita weekend hii nione hako ka pub,
 
Ha ha ha haaa Nyamayao nimejaribu kutafakari akili inanielekeza nyamayao atakuwa mtoto wa mzee fulani mitaa ya Kaloleni !.Anyway Jmosi ukija XL Pub naweza kukutambua ila ngoma itakuwa kumtambua Ngongo ha ha ha ha.

basi Ngongo tutakuwa tumeshakumbana tu, EAC nahudhuria mara nyingi jmosi na jipili kumsindikiza mr ku watch, napo palianza kujaa wakati wa mechi pakawa kama bar za uswahilini..sijapita huko long time, ntapita weekend hii nione hako ka pub,
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…