Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,149
- 2,232
mkuu kama nakufananisha.........hatujawahi kupigana pale mashujaa kweli.......au vile vita na Naura primary kule mtoni umewahi kushiriki....?...kwanza head teacher wako alikuwa nani...? marehemu Anna Swai au Mrs Mwenera......?
hahaaa! Umenkumbusha mbali Preta vile vita nimeshiriki sana tu! Nilianza Shule ilikuwa chini Mwl. Anna Swai RIP then nikiwa la 5 ka ckosei hivi Mwl. Mwenera akawa mkuu...