Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TCU wanachangia sana kuwepo kwa vyuu vikuu vya kibabaishaji. kuna vyuo havifai kuitwa vyuo vikuu kutokana na jinsi vilivyo, mfano ni Stefano Moshi Memorial University College (SMMUCO) cha Moshi, kuna wanafunzi waliacha masomo mwaka 2011 baada ya kugundua kozi wanazosoma hazijasajiliwa na TCU!
Mkuu naona ww ni mmoja wa wadau wa SJUT, either kifamilia au kiajira! Kwanza huyo dean FOCB i.e KI..NGA (kasoma malaysia kwenye chuo cha kata, ni shoga na anatabia za kuwalaghai wanafunzi wakike kwa kuwapa maksi na kuwala TIGO) mfano ninao demu wa jamaa yangu kamtigolize mpaka jamma wakabreak na GF wake, ni mtaalamu wa ndumba ile mbaya....! Wape salamu "ma-lecturer uchwaara" Jam....es, mzee wa Botswana, fadhi...l,.......etal
OHOOO, WEWE UNATAFUTA VITA NA HAWA MUJAHIDIN. MIMI SImO
tanzania ni nchi mojawapo katika afrika inakimbizana na ujinga. Sisi sote ni mashahidi wa haya, nasema haya kwa sababu zaman chuo kilikuwa ni kimoja tu yaani udsm lakini siku hizi kuna vyuo lukuki.
Ni vyema kuwa na vyuo vingi lakini tcu iwe inavihakiki ili kulinda ubora na mazingira ya wanafunzi kwenye vyuo hivi ili viwe na sifa na ubora. Hayo ni kwa ujumla. Moja ya vyuo hivi ni pamoja na st. John ambacho kinamilikiwa na kanisa anglikana tanzania.
Uongozi wa chuo hiki hakiwajali wanafunzi wake kabisa na kupelekea kuwafukuza bila hata kufuata utaratibu kabisa wanapohoji maslahi yao au wakoseapo. Mfano wa mambo haya ni:
1. Wanachuo wanapokuwa na mashaka juu ya uwezo wa lecturer na kuhoji kiwango cha elimu yake (kwa kuwa hakuna prospectus). Watu wamesimamishwa kwa kuwa hilo ni kosa.
2. Wapo walimu wenye digrii ya kwanza ambao wanafundisha madarasa ya digrii.
3. Mwanafunzi anakaa miaka yote mitatu hajui hata prospectus ya chuo ikoje.
4. Menejimenti haifuati utaratibu wa kisheria katika maamuzi ya kisheria. Mfano, inafukuza wanachuo pasipo kufuata utaratibu.
5. Ni wiki jana tu wahitimu wa tawi la dar wa mwaka jana wameandamana kudai vyeti vyao. Kwa haya na mengine mengi tcu na wamiliki wako wapi?
mm nipo first year campus ya dar ya st.john,hakuna cha prospectus wala almanac,unaekataa hl huijui st.john,mazngira n mabovu ya kusomea.hapa ilitakiwa iwe prmary xkul,coz mazngra kiujumla hayana ubora wa kuitwa chuo kikuu.co kwa majengo2 bali hata academics hapa n mbovu,hazna kiwango.kuna mtu anaitwa baitu hapa n lecture wa baed,anawafelsha watu kwa sabab zake bnafc,ukmfata anajb short ucnfundshe kaz.kama uamn njoo bugurun malapa uone haya.
unauhakika prospectus haijawekwa kwenye website yao?
kwani prospectus inatakiwa iwekwe kwenye website au wagawiwe wanafunzi?
Daa! wafanyakazi sasa wa chuo hiki pale Dom, sijui kama wanajitambua. Yani Mwanachuo akiwa na shida ya kiofisi wananyanyasika utaskia 'subiri' utasubiri milele 'njoo kesho' utaenda kesho, keshokutwa hadi mitondogoo bila mafanikio.Wanadhani wao wamamaliza kila kitu, hawajui tu kuna wanafunzi wanasoma pale ni wakubwa tu maofisini mwao na wengine ni wa kitaifa.Pale kwa Burser ndo usiseme ukiwa na roho ndogo unaweza piga mtu, kule town center Dom kuna mtu anaitwa Abdul hakika anahitaji ukombozi wa kifikra, the young boy is so dumpen.
Shida pia ni kwamba hawaajiri kutokana na uwezo na academics za mtu bali inabidi uwe mchungaji,mke wa mchungaji,mtoto/mjomba,binamu wa mchungaji au askofu na mwisho ukiwa MGOGO hasa wa Mvumi ni added advantage
Si kubaliani na wewe kama chuo kinaweza kuendeshwa bila prospectus na Almanac.Ninachojua mwanafunzi anajukumu la kuwa na prospectus anapoingia mwaka wa kwanza chuo chochote.Kingine aijalishi mtu kuwa n MBA asifundishe mtu wa MBA kinachoangaliwa ni uzoefu wa kazi na sio lazima Phd Holder,ninachojua kwa Stjohn dean wa faculty ya Business ni Phd Holder na full nbaa holder with international experience so my dear for stjohn you are wrong.Pia kingine ni kwamba mtu unapofukuzwa chuo kuna chanzo kwanini wasilalamike chuo kizima alalamike mmoja.Kuhusu vyeti ni vyuo vingi vinachelewa kutoa vyeti coz vyeti vya chuo sio kama vya sekondari vina utaratibu wake kuvitoa na vingi avichapishwi Tanzania.
kwani prospectus inatakiwa iwekwe kwenye website au wagawiwe wanafunzi?
Huo ni uongo acha uchochezi kuhusu simuco! Ni coz gani haijasajiliwa na tcu??