Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,071
- 6,753
ST.JOSEPH ni kama korogwe t.t.c
mwisho wa siku tukutane kazini!
Ndio maana hata hao walimu wa udsm utakuta ana masters au phd ya engineering lakin hajawahi ata kufanya kaz ktk prfesional yake na anakwambia anauzoefu wa kufundisha, elimu ya chuo kikuu na kuweza kutumia maarifa na ujuzi katika kuzalisha na sio kupata A ya physics tubadilike st joseph iwe mfano wa kuigwa,tunafanya interview na hao udsm graduates wanashindwa vtu vdogo mpaka unawaonea huruma
St.joseph ni offspring ya vyuo mbuzi nchini kama teku,kampala,sua etc.... in shortly vijana wanaosoma huko hawajitambui wao na future zao.
Kupata f ya physics sio kigezo cha kushindwa kusoma civil eng!
mkuu huku ni kujidanganya civil engineering is all about designing.ukiondoa unachofundishwa darasani lazima ufanye engineering judgement na engineering judgement lazima uwe na high thinking cappacity..sasa huyo mtu aliyepata f au E form six na anaufulu hafifu form four unafikri anaweza akawa na high thinking cappacity kulinganisha na aliyefaulu vzuri.huyu mtu mwenye ufaulu hafifu hata kama atafundishwa vizuri chuo atakosa ile thinking na engineering judgement ambayo inatokana na kuwa na kichwa kizuri
Vipi kuhusu mtu aliyepata ufaulu mdogo Form 6 kwa bahati mbaya lakini ana uwezo mkubwa?
Kitu ambacho hadi wa leo wanataaluma kinawaumiza kichwa na wameshindwa kujibu swali kama kweli Mtihani ni kipimo sahihi cha uelewa wa mtu? Hilo hadi wa leo ni utata. Sababu mtu kushindwa au kushinda mtihani wa mwisho zipo sababu nyingi sana ambazo hupelekea matokeo hayo. Na uhalali wa ufaulu au kufeli kwa mtu bado napo ni tatizo wapo wanaofaulu ila kwa njia za panya na wapo wanaofaaulu ki halali wapo wanaofelishwa wapo wanaofeli kihalali. Swali lina je mtihani ni kipimo sahihi cha kupima uelewa wa mtu?
Duh! Sikujua kama kuna vyuo Mbuzi, na vipi kuhusu Ng'ombe?
St.joseph ni offspring ya vyuo mbuzi nchini kama teku,kampala,sua etc.... in shortly vijana wanaosoma huko hawajitambui wao na future zao.
COET unafananisha na StJU wakupime wewe
Mhh! Mkuu ukizungumzia engineer haswa civil hapo physics n math's lazma iwepo,kama mganga wa kienyeji na mashetani/majini,soma vzuri history of civil engineering ingia wikipedia,
Uchunguzi wako umeufanyia wapi!?? We uko level gani na umesoma chuo gani?
hvyo ni UDSM, ARDHI, MZUMBE
unakuta mtu ana F E E ,ktk PCM anaenda kusomea CIVIL au ELECTRICAL ENG. ,hebu waige mfano UDSM mwaka huu walihitaji wanafunz wengi tu pale CoET lakin kwakua wanafunzi wengi hawakukizi vigezo hawakuforce ilimradi tu, CHEMICAL AND PROCESSING ENG ilihitaji wanafunzi 60, lakin wamechukua wanafunzi 37, kwan wengi hawakufaulu hasa PHYSICS, pia ktk hata fani nyingine .
CoET wasipo kuwa makini St. Joseph itakuwa mwiba makili kwao...Wale Wahindi wapo smart sana....Chuo ndo kwanza kimeanza juzi juzi lakini kinakimbiza ile mbaya..