mkuu huku ni kujidanganya civil engineering is all about designing.ukiondoa unachofundishwa darasani lazima ufanye engineering judgement na engineering judgement lazima uwe na high thinking cappacity..sasa huyo mtu aliyepata f au E form six na anaufulu hafifu form four unafikri anaweza akawa na high thinking cappacity kulinganisha na aliyefaulu vzuri.huyu mtu mwenye ufaulu hafifu hata kama atafundishwa vizuri chuo atakosa ile thinking na engineering judgement ambayo inatokana na kuwa na kichwa kizuri
kwanza wewe utakuwa hujasoma na kama umesoma unawezo mdogo sana wa kufikiria.
kabla sijasema chochote. mtu yeyote aliyesoma O level ,akaenda Advance na baadae chuo anaweza kufanya analysis kwa wanafunzi waliosoma shule moja O level, wakasoma Combination moja Advance na Course sawa chuo.
si kweli kuwa kila aliyeonekana mzuri O level kushinda wenzake ataendelea kuwa juu kwa kila matokeo na kama ikitokea ni kwa wachache sana. mara nyingi matokeo hubadilika sana na huo sio ukilaza wala thinking capacity kwa kuwa thinking capacity tunazaliwa nayo. kifupi hapa nilitaka nikwambie kuwa THINKING CAPACIY HAIJAWAHI KUPIMWA KWA MTIHANI NA HAKUNA KIPIMO HICHO.
KAMA WANGETUMIA MTIHANI KUPIMA BASI WAGUNDUZI WOTE WAKUBWA DUNIANI WANGEKUWA NDIO WALE WANAO-ONGOZA DARASANI AMA MAPROFESA WALIOFAULU KWA MARKS ZA JUU SANA LAKINI UKWELI SI HUO,
HATA STIVE JOBS ALIKUWA NA HIGH THINKING CAPACITY KUSHINDA WATU WOTE DUNIANI KWENYE JAMBO ALILOLIDUNGUA WAKIWEMO HAO MAPROFESA NA WALIOFAULU SANA HUKU YEYE HAKUWA HATA NA DIPLOMA.
ILA KWA SABABU WEWE UNA UWEZO MDOGO SANA WA KUFIKIRI NATAKA NIKWAMBIE KWA KUKUELEKEZA.
mitihani mingi sana vyuoni na kokote haipimi kabisa uwezo wa kufikiri. inachopima ni uwezo wa kukariri kwa kiasi kikubwa maana maswali mengi ni direct questionsand if you know the procedures unakokotoa mpaka mwisho .
ukiwa na bidii ya kusoma na kukariri sana(kupiga msuri) unafaulu tu lakini haimaanishi una uwezo mkubwa wa kufikiri.
watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiri ni wachache sana duniani tena kwetu ndio wachache kuliko kawaida.
wengi wana akili za kukariri kama ulivyokariri wewe kuwa uwezo wakufikiri ni marks.
ANGALAU MIDAHALO NA UCHAMBUZI UNAWEZA KUTUMIA KUPIMA UWEZO WA WATU KUFIKIRI.
mkuu huku ni kujidanganya civil engineering is all about designing.ukiondoa unachofundishwa darasani lazima ufanye engineering judgement na engineering judgement lazima uwe na high thinking cappacity
kwa sababu ya uwezo wako mdogo wa kufikiri inabidi nitumie mifano rahisi na inayoeleweka.
tambua kuwa hakuna chuo chenye MAKAMPUNI.
kwa hiyo wanafunzi wote wa vyuo vyote wanafanya field na kuajiriwa baadae kwenye makampuni hayohayo.
sasa je ushasikiwa wapi wanafunzi wa st.Joseph wanalalamikiwa sana na kampuni kuwa hawafai kabisa lwenye hizo field kiasi hata cha kampuni hiyo kupiga marufuku kuwachukua kufanyia field hapo?
kama jibu ni ndio toa ushahidi hapa, kama jibu ni hapana ,jitathimini ubongo wako kama hauna hitilafu kwa sababu hata wanafunzi wa ud na udom wanafanya field kwenye makampuni hayahaya na makampuni haya ndiyo kipimo sahihi kwa kuwa yanafanya kazi na wanafunzi wa vyuo vyote.
pili. ajira zinapatikana kwenye makampuni hayahaya.
je kwa waliohitimu st.joseph na kuajiliwa ambao ni wengi sana, ushasikia report case ngapi kuwa wahitimu hao walishindwa kazi na kuondolewa kisa ni vilaza? nimetaka wingi utakaojustify madai yako.
sasa huyo mtu aliyepata f au E form six na anaufulu hafifu form four unafikri anaweza akawa na high thinking capacity kulinganisha na aliyefaulu vizuri.huyu mtu mwenye ufaulu hafifu hata kama atafundishwa vizuri chuo atakosa ile thinking na engineering judgement ambayo inatokana na kuwa na kichwa kizuri
inawezekana umesoma mazingira yanayofanana kuanzia O level mpaka Adance ndio maana unashindwa kujua kuwa ufaulu unatokana na sababu nyingi sana.
binafsi nimesoma both private(not just a private but a good school) and government(not just a government but a poor school)
kupitia mazingira haya naweza kuelewa ukweli kiasi kuhusu matokeo.
siyo kila mwenye marks nzuri ana uwezo mkubwa wa kufikiri.
si kila mwenyemarks ndogo hana uwezo wa kufikiri.
wakati mwingine matokeo huathiriwa sana na mazingira ama aina ya shule mtu anayosoma.
MWISHO .
kwa kutambua uhalisia wa masomo ya sayansi kote duniani uliwekwa utaratibu wa mtu kusoma ENGINEERING LAZIMA AWE NA UFAULU FULANI . NAO NI 2.5 points kwa advance kama minimum qualification.
kwa maana nyingine wataalamu wa mambo ya engineering duniani wanakubaliana kwa kauli moja kuwa huyu mwenye 2.5 ana thinking capacity inayotosha kumfanya ayamudu masomo haya na si kuyamudu tu bali kuyafanyia kazi baada ya masomo.
ila kwa sababu ya uwezo kiduchu sana wa kufikiri ulo nao usingeweza kuliona hili na kama ingekuwa haiwezekani kwa mwenye 2.5 points kuwa qualified and trained engineer akafanya kazi vizuri basi wangebadili na kuweka minimum qualification hata ya 6 points.