Wamuuwe ni msaliti huyo., wabongo siyo wa kuwatetea.
Please Veve kill him.
Wabungo si wa kutetewa!!!! Nani wa kutetewa...taabu ya kuvuta bhangi iliyochanganywa na kinyesi !!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamuuwe ni msaliti huyo., wabongo siyo wa kuwatetea.
Please Veve kill him.
we jamaa unawatetea ndugu zako nini? Hatukatai ni wazuri katika hizo fani ila huku wanakuja kuchuma na maneno hayo wanayatamka hadharan,i mimi niko Songea na nafahamu vizuri kilichotokea na hicho chuo ukikiona udahani ni shule ya msingi na sheria zao ni kama za sekondari, kwanza huruhusiwi kuwa na simu maeneo ya chuo, hurusiwi kua na laptop hata uwe mwanafunzi wa IT, kila siku yanaitwa majina yaani attendance isipokuwepo unapewa adhabu ya kulima na kufyeka, ukikosa kosa lolote darasani unafinywa au unapigwa na rula. Halafu richa ya hayo huwa wanatamka hadharani kwamba viongozi wetu wa serikali wamewaweka mikononi mwao, harafu wanasema sisi ni watumwa katika nchi yetu maana hatuwezi kusema lolote kuhusu wao, pia boom likifika jamaa wanapewa baada ya miezi itatu. Hii ni haki kweli!Ungewajua pengine usingesema hivyo! Au unawajua kwa kuwaona hao hapo Upanga! Nenda uone walivyo mbele katika taaluma za Tiba (mahospitali) Ujenzi na Uhandisi, Computer nk. Kuna kitu kingine kwenye hizo fujo, sio hivyo, na kama unawafahamu St Joseph vizuri, hayo yaliyoandikwa hapo juu hayawezi kuwa ya kweli!
ahaaaa,imekuuma sana,pole sana dogoUsomi wako UDSM nd'o umekusaidia kuandika haya?
ahaaaa,imekuuma sana,pole sana dogo
ni kujibu wewe kama nani kwangu,achana na mimiHujajibu swali bado!
we jamaa unawatetea ndugu zako nini? Hatukatai ni wazuri katika hizo fani ila huku wanakuja kuchuma na maneno hayo wanayatamka hadharan,i mimi niko Songea na nafahamu vizuri kilichotokea na hicho chuo ukikiona udahani ni shule ya msingi na sheria zao ni kama za sekondari, kwanza huruhusiwi kuwa na simu maeneo ya chuo, hurusiwi kua na laptop hata uwe mwanafunzi wa IT, kila siku yanaitwa majina yaani attendance isipokuwepo unapewa adhabu ya kulima na kufyeka, ukikosa kosa lolote darasani unafinywa au unapigwa na rula. Halafu richa ya hayo huwa wanatamka hadharani kwamba viongozi wetu wa serikali wamewaweka mikononi mwao, harafu wanasema sisi ni watumwa katika nchi yetu maana hatuwezi kusema lolote kuhusu wao, pia boom likifika jamaa wanapewa baada ya miezi itatu. Hii ni haki kweli!
ni kujibu wewe kama nani kwangu,achana na mimi
Ugomvi mkubwa watokea chuo cha st.joseph songea mhindi mmoja amepata kipondo kutoka kwa wahindi wenzake baada ya kukataa shinikizo la kusaini barua ya kufukuza wanafunzi 25 chuoni akimbilia kwa raia wema na kuokolewa afunguka kuhusu uozo uliopo chuoni hapo asema wanafunzi wamegoma kwa haki asema wanaongozwa kwa mabavu wamekuwa wakilazimishwa na mkuu wao kusain mikataba kandamizi kwa wanafunzi asema pia utapeli unaofanywa chuoni hapo zikiwemo koz za uongo(unregistered course) lakini pia asema chuo hicho kina utaratibu wa kuajili watu ambao hawana vigezo vya kufundisha chuo kikuu wengi wao wana deploma kuhusu masister pia amesema huchukuliwa raia wa kawaida huko india na kupewa mafunzo ya siku mbili asema st.joseph inaongozwa na masister feki raia huyo waindia ameeleza mengi sana kuhusu chuo hicho pia tumefanikiwa kunasa mazungumzo yake live baadae tutawawekea video muone wenyewe. Raia huyo wa india kwa sasa yuko kituo cha polisi kwa ajili ya usalama wake. Hiki sio chuo serikari mkifute peleka wanafunzi udom majengo hayana wanafunzi agriculture pereka sua na katavi and let this people go back to india wanaharibu elimu yetu wako kimasilahi zaid na siyo elimu bora.elimu gani mtu anakuwa na matokeo matatu tofauti tcu mengine chuoni mengine heslb mengine huu udwanzi hafu serikari mmeuchuna haya majanga kweli.
tuvumilie upumbavAcheni kuwashambulia wahind nyinyi
siwezi ongea na vijana wa kizazi cha mulugo yaani umefanyiwa standardization lakini tokeo lako bado bovu na umepeleka huko Songea,hasa unaanza kujutia chuo chako hicho ulichochaguliwa,achana na mimi kipanga ambae sina shida ninasoma chuo bora sana barani Afrika na Ulimwenguni pia(UDSM),huku hakuna kero kama za kwenu tunapiga kitabu mwanzo mwishoduh mi naamini UDSM inatoa wasomi wazuri lakini wewe usijihesabie kama mmojawapo!! Usikasirike
siwezi ongea na vijana wa kizazi cha mulugo yaani umefanyiwa standardization lakini tokeo lako bado bovu na umepeleka huko Songea,hasa unaanza kujutia chuo chako hicho ulichochaguliwa,achana na mimi kipanga ambae sina shida ninasoma chuo bora sana barani Afrika na Ulimwenguni pia(UDSM),huku hakuna kero kama za kwenu tunapiga kitabu mwanzo mwisho
sijapanic ila naona unataka tuendelee kutawala humu JF,na kama una wasiwasi na mimi basi baki hivyo,natoa onyo la mwisho kuwa kama utaendelea kujibu comments zangu basi nitakuwa bwana wako,na kama ukinyamaza kimya basi utakuwa umeniogopa,I love UDSM everHahaha mkuu mbona unapanic?
Hivi msomi huwa ana-behave namna hii?
Nina wasiwasi kama kweli nawe ni mmoja wa wasomi hapo UDSM!