St.Kayumba wote tukutane hapa Wazee wa kidumu na Maji

Hii hainihusu ngoja ianzishwe ya walosoma shule za dini mwanzo mwenga.wazazi bwana ,eti unaanza vidudu mpaka six shule za dini tu,wanadhani ndo tutakuwa wachamungu kumbe looh.
Eniwei st kayumba nlibahatika kusoma wili mbili tu darasa la kwanza.ilikuwa ikifika break time mwalimu anatukomalia tusitoke mpaka tununue aisikirimu na maandazi yake.eti alikuwa anasema ni za maziwa.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] unapata one lakini unajifikilia msahishaji alikielewaje kiingereza chako
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
KAyumbaaaaaaaaaaaaaaaaaa oyeeeeeeeeeeee.
 
Daaaah st. Kayumba tukiombaga maxi utatujua too utasikia ( am hiya so zat inoda to get work of job mmmh mmmh in oda to simplify my life)
 
that time tulikuwa kama hivi daaa tumetoka mbali
Inaonekana huyu dogo wa mbele kaboreka na masomo ya siku husika(hope alikuwa haelewani na mwalimu wa somo la Kiinglish), anawahi home kukata majni ya Sungura wake.
Ndo maisha yetu hayo.
 
wale wa chimbo mpo lakini? kuna wanafunzi walikua ma tabia za ajabu eti walikua wanachambia ukuta wa vyoo vya walimu kila jioni tukiondoka. na hawakushikwa hadi tunamaliza la saba.. so f*cking funny
 
Mwaka gani?
F
 
Hongera.
Ila wakumbushe kuwa, baadae watakuja ishi na kufanya kazi na waliosoma kanumba. Na ndio wanaweza kuwa matajiri na viongozi wake.
 
Kwa sababu ya kukimbia bakora za aina hiyo, nili-dodge hadi mtihani wa Jiografia wa std V. Kibaya zaidi goma ndio lilikuwa la kufungia mwaka. AIBU
 
Yarabi mbavu zangu.
 
Darasa la Saba, kuna mwanafunzi alichelewa kuingia class, kamkuta mwalimu wa English ametuna, akampigisha magoti, wakati anaendelea kufundisha akamuuliza maana ya "common" , akamjibu common pombe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. . Won't ever forget that
 
Na ile ya kuwa mtoro shule halafu wababe wa darasa wanatumwa kukufwata na kukuleta kwa nguvu, jamaa walikuwa na sifa sana, kwanza wana mbio balaa wakikuona utakamatika tu hata ifike jioni, ukifikishwa shule hizo bakora zake sasa...
Kuan mmoja tulimfuata, akani-chenjia. Baadae aliona moto wangu. Mpaka leo ana alama yangu.
 
Sitasahau primary siku ya J5 njoo na JEMBE ,KUNI, MAJI, na fagio
Unafika shule unafika shule unaambiwa kachote Maji ya mwlm, kamfulie nguo mwalimu, St. Kayumba mateso
 
NAKUMBUKA KUNA SIKU TULIFANYA SANA FUJO DARASANI AKAINGIA MWLM WA KINGEREZA KUFUNDISHA ACHA KABISA AISEE,VITABU ALIWEKA PEMBENI ALICHUMA MIFIMBO KIBAO,
ALITEMBEZA BAKORA DARASA ZIMA ALIVOMALIZA AKASEMA"fimbo inaisha kidogo kidogo kama mswaki inaumia mitako tu"



KUNA SIKU TUPO DARASANI KWENYE PINDI LA NAMBA MWLM ALIULIZA KANUNI YA KUSOLVE UMBO LA PEMBE TATU AMBAYO NI NUSU MARA KITAKO MARA KIMO KUNA JAMAA YANGU MZAA MWINGI AKANYOSHA KIDOLE MWLM AKASEMA TUAMBIE KANUNI YAKE JAMAA ALIJIBU "nusu mara kijungu mara kimo", kilichotokea hapo nadhani kila mtu anajua
 
wale wa chimbo mpo lakini? kuna wanafunzi walikua ma tabia za ajabu eti walikua wanachambia ukuta wa vyoo vya walimu kila jioni tukiondoka. na hawakushikwa hadi tunamaliza la saba.. so f*cking funny


Hii ya chimbo unanikumbusha mbali sana aisee,kuna siku nipo chimbo na jamaa yangu klabu ya yanga,inapita ndege namwambia yule rafiki yangu huku tunaiangalia ndege,"dah natamani siku moja niwe rubani",Leo nikimkumbusha jamaa huwa tunacheka sana aisee
 
Nakumbuka mengi jamani.....ila wakati naanza chekechea (nursery) siku ya kwanza nilimpiga sister (Roman Catholic) na kiatu pale alipofunga geti ili nisitoroke shule.....daahhh!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…