kule kwenye shule zetu za kajamba nani kuna ml wa kiingereza alkiwaga akiingia kipindi hicho tupo darasa la nne ..darasa linabadilika linakua kama hospitali ya watoto kwenye chumba cha sindano ..Mama yule alikuwa anafinya hakuna mfano .. yan vilikuwa ni viliona majonzi kwenye kipindi cha english mtu unamlaani baba kwanini alikupeleka shule