St.Kayumba wote tukutane hapa Wazee wa kidumu na Maji

Nakumbuka nilikua dar
asa la 5 mkuu wa shule aliagiza mbolea ya thamadi mimi nikaleta ya pumba kumbe kulikua kunakukaguliwa kila mtu anashika mfuko wake kwa asie na thamad adhabu yake fimbo na kupukuchua mahindi ya shule...mweeee unapukuchua mpaka vidole vinaota sugu[emoji23][emoji23][emoji23] najivunia St. Kayumba Kwa kunifundisha kazi na Utii.
 
Kulikuwa na mwalimu mmoja aitwaye Suzan nahisi alikuwa hana mtoto yule.Kwenye English alikuwa anatukamata kwa Dictation na hapo ndio kipigo kilikuwa kikitembea sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…