Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,577
[emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]St kayumba za dar earl2000 darasa la sita kwenda la saba kulikua na utaratibu wa kushindana kwenye mitihani inashirikisha shule nyingi,bwana ulikua ukifeli hizo stick zake balaa[emoji2][emoji2]mda wa kwenda mnashangilia makelele mpk mnafika
ubwabwa wa shilingi 50[emoji41][emoji41][emoji41]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] da kweli wangu nimeula sana huooubwabwa wa shilingi 50[emoji41][emoji41][emoji41]
Nakumbuka Shule ya msingi Uhuru mchanganyiko miaka ya 2000 tulikua tunakunywa juisi ya Sunvita.. Sio mchezo
yale maisha acha tu aisee....nikikumbuka huwa nacheka sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] da kweli wangu nimeula sana huoo
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] huenda kweliiiHlf ww utakua umesoma shule moja na mm si kwakufanana huko na kwetu ubwabwa ulikuwepo
Yani yalikuwa maisha fulani yaliyokamilika, mtu mnakaa wote miaka 7 pamoja halafu sababu ya utoto tulikuwa tumesharidhika na hayo maisha na tuliona kawaida hakukuwa na mtu aliekuwa akiyachukulia maisha serious kihivyo ili ayabadirshe....kiukweli kipindi hiko pamoja na changamoto zote lakini Furaha na Upendo vilitawala.
Perfect tena rafiki wa kpnd hiko wengi ni marafik wakweli mpk sasa maana mnajuana kweli kweli[emoji2][emoji2]
Fact nina shog angu tangu enzi hiz had leo urafik wetu umekuwa undugu sasPerfect tena rafiki wa kpnd hiko wengi ni marafik wakweli mpk sasa maana mnajuana kweli kweli[emoji2][emoji2]
Sitaki kukumbuka kukalia jiwe darasani badala ya dawati shule ya msingi [emoji47][emoji47][emoji47]
Najivunia kusoma kayumba darasa la 1 mpaka chuo kikuu [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Duuuh!!nmecheka sana jamanWachoyo walikuwa wanazitemea mate ili usiwaombe, lkn kuna wagumu hata uteme mate lita kumi ukiwapa wanakula tu
Fact nina shog angu tangu enzi hiz had leo urafik wetu umekuwa undugu sas