'St. Nyerere’s' 18 political miracles

'St. Nyerere’s' 18 political miracles

.....Eli Anangisye who was one of the detainees ..... I remember Wilfrem Mwakitwange, Elias Mshiu, Abdu Faraji, Edward Barongo, Chief David Kidaha Makwaiya and his brother Husein Makwaiya. Can JF members give more names, especially of those still alive, so that a get-together can be organized for survivors on the occasion of the cannonization?
Kama kumbukumbu zangu zipo sawa(unaweza kunirekebisha) kuna jamaa wa Ki Hehe, aliitwa Said Hassan Mwamwindi...alinyongwa na Nyerere.
Abdallah Kassim Hanga...mzee wetu huyu...mpaka leo hajuulikani aliko...ni Nyerere, baada ya kumdhalilisha hadharani, alimkabidhi mikononi mwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na tokea hapo hakuonekana tena mpaka leo.
 
You will needs wings which u dont have mazee..Wings zinapatikana kwa ku-seek maarifa kwenye vilindi vyake..
Kwa kuwa elimu haina mwisho, mwenzio bado najifunza tuuu na sikatai kuuliza ujinga nikitafuta werefu
 
Kwa kuwa elimu haina mwisho, mwenzio bado najifunza tuuu na sikatai kuuliza ujinga nikitafuta werefu

You are now embarassing me with your silly posts..unanikatia stimu ya ulabu saa hii..Wewe endelea kujibizana na keyboard from now on..mimi najikata kwenda kujitakasa na laga..

Seeeeeeeyahhhh
 
You are now embarassing me with your silly posts..unanikatia stimu ya ulabu saa hii..Wewe endelea kujibizana na keyboard from now on..mimi najikata kwenda kujitakasa na laga..

Seeeeeeeyahhhh
Usirudi hapa JF unakwenda ta!ta!ta! kama mtoto mdogo, taratibu Mkuu.
 
Biblia sio premise ya kila kitu kinachofundishwa na kuaminiwa na kanisa Katoliki. Kwa hiyo using'ang'anize kuwa kila kitu lazima kiandikwe kwenye Biblia..Sawasawa?

Mh! Makubwa, jamani kuna vitabu vingine vitakatifu tofauti na Biblia??
 
Quote:
Biblia sio premise ya kila kitu kinachofundishwa na kuaminiwa na kanisa Katoliki. Kwa hiyo using'ang'anize kuwa kila kitu lazima kiandikwe kwenye Biblia..Sawasawa?


Mh! Makubwa, jamani kuna vitabu vingine vitakatifu tofauti na Biblia??

Ndugu yangu ndo hapo jiulize upate jibu. Biblia si msingi wa mafundisho na uendeshaji wa kanisa katoliki. Kanisa katoliki limesheni maagizo ya wanadamu zaidi kuliko maagizo ya MUNGU na linaendesha mambo yake kisiasa zaidi kuliko ki-MUNGU.
 
Mh! Makubwa, jamani kuna vitabu vingine vitakatifu tofauti na Biblia??

Pole zako mazee..inaonekana ukristu mnajifunzaga tu kwa kukariri..Sasa usidhanie na madhehebu mengine tunafanya hivyohivyo mazee. Just chill wakati wengine tunaamini based on what is right na wewe fanya vilevile unavyoona inakufaa..lakini usitake kusuggest kuwa imani yako ni sahihi sana mazee, only to your STUPIDITY.
 
Ndugu yangu ndo hapo jiulize upate jibu. Biblia si msingi wa mafundisho na uendeshaji wa kanisa katoliki. Kanisa katoliki limesheni maagizo ya wanadamu zaidi kuliko maagizo ya MUNGU na linaendesha mambo yake kisiasa zaidi kuliko ki-MUNGU.

Mazee a i thought we were clear on this lakini naona unarejea utumbo uleule. Nilikuuliza nioneshe kanisa 'bora' unaloabudu huko ili na sisi tujiunge huko..ukabaki kukwepesha na kuendelea kujitia ujuaji.

Mazee acha kuzungumzia vitu usivyovifahamu na kujitia ualimu wa vipofu..Sasa jibu langu litakalofuata usitegemee USTAARABU maana umelianzisha mwenyewe hili tibwili..
 
Nimeamini kweli Ukristu ndiyo unaongoza dunia!! yaani watu wa imani nyingine wanapinga Mwalimu asiwe mtakatifu wa kikristu - kikatoliki!! Haya ni mapenzi waliyonayo watu weengi kwa ukristo, wengine bila kujijua!
Hebu tutaona siku Mzee Mwinyi akipewa u-MUFT wakristu wao watakuwa kiimyaa! si haiwahusu!
 
Mr./ Elder Kavuma-Kaggwa, Oliotya Ssebo!

Thank you for this good narration of Mwl. J.K Nyerere I am a Tanzania, a catholic, and very much in love of my country. And as one who lived in the era when Nyerere was President, i am delighted to read so much about him. It was just last moth that I actually managed to visit his Mausoleum, in the backyard of this home vilage (which I am sure you have no idea where that is apart from mentioning the name Bazanaki, correction to you it is Wazanaki), and for me I managed to see a number of miracle while there, that if you want them to be published, I could very much do that.


But the reason I am thanking you in this email is because, finally the process of Nyerere's Canonization (a Catholic term for those to be made Blessed, and eventually saints, I am not sure you know this because you used only the political language in your article), but finally this is working.

In this process, if you did not know, one thing necessary is to have what we call "The Devil's Advocate". Someone who will come up and say, even from all these angelic things that are said about this man you are trying to say he is holy, we know any human being could do them without any extra powers, and that advocate should mention many other things (just like you have done) to say with these, I dont think he can be a holy man.

Now that you have said your mind, the process will begin to take place easily because the team of inquiry will do it's job to find out whetehr those things you mentioned actually happened and if yes, under what circumstances.

Just a little correction on your side. In the catholic church, the 18 stuff you have mentioned, are NOT miracles, they are human actions, and we have countless numner of saints who did things worse than that, St. Peter, St. Augustine, to mention but a few.
The Miracles we are looking for, are happening now, and you actually mentioned it yourself that it should be healing or solving out of a situation not explained scientifically, AFTER the death of the said person.

Winning a War, Rigging elections (it is happening now in Iran, many times in Uganda, you know this Mr. Kaggwa, our friends in Kenya...), leading people to be a unified nation, all these are actions that are done and can be easily explained with any secondary school students, they do that in their examinations every year.

So again, your points are good, and I am glad that, for the president I knew in my life, a person I adored, I can finally begin to hear something negative coming out, and for that sake, you make a very good Devil's Advocate. It's actually another miracle right at our backyard, instead of waiting for one from Rome.

Thank you and keep the miracles coming

David Lyimo
 
I will let the words of one prominent Tanzanian political analyst in a retort to Professor Paul Collier's "Wars, Guns, and Votes: Democracy in Dangerous Places " drive home my humbling humanization of the now almost deified Nyerere.

Dear Prof. Collier,

I read ``Wars Guns and Votes`` and was struck to read the flowery treatment
you accorded J. Nyerere of Tanzania. You assert that he was successful at
nation building through rhetoric and emphasis on one unifying language.

You have written history books on Tanzania, and you could not possibly forget
that Nyerere was able to maintain national security not by rhetoric and
ideology but also through unlawfulness and autocracy. He detained dissenters
and attorneys general who dared to differ. He sanctioned death camps in
Zanzibar which tortured and butchered many a detractor, ex-ministers and
parliament backbenchers. His political police reputedly re-arrested vindicated
suspects exiting the steps of courtrooms after prevailing against detention
orders brought under the extralegal ``Preventive Detention Act.``

I was a mere schoolboy during the tail end of Nyerere's Tanzania (he had
ruled for a million years before I was born), but I remember the terror, even
though your western readers who may have never heard of the region will be
taken for a good ride here. A book is as accurate as the audience it is
targeting.

Nuff said.
 
Mkuu hapa lipo tatizo.
Nafikiri hapa tatizo kubwa ni kwa kanisa katoliki kukosa ufahamu mzuri wa Ki-MUNGU. Utakatifu wa mwanadamu unapimwa na MUNGU tu na wala si mwanadamu. Yaani mwanasiasa anakuwa Saint? Tangu lini? Ooooh my goodness. Wamempima kwa kipimo gani? Haya ya kuangalia kwa nje na michango yake ya kisiasa? Si basi angalau wangempa Nobel prize ya kikanisa kwa michango yake mizuri kwa jamii na si katika mambo ya kiroho maana aujuaye moyo wa mwanadamu ni MUNGU tu. Hivi wanayajua maisha halisi ya mwalimu yalivyokuwa? Wanajua alitumia ulinzi gani dhidi ya maadui wa kimwili na katika ulimwengu wa roho? Je na kama wanajua yalikuwa sawasawa na mapenzi ya MUNGU? Nafikiri kanisa katoliki wasiingilie kazi ya MUNGU. Unless they have their own god and not the true GOD.

Utakatifu wa mwanadamu unapimwa na MUNGU sawa ila maisha ya hapa duniani (hasa matendo) huwa ni kipimo kizuri cha nini utapata mbinguni. ukiwa na matendo mazuri na mfuasi mzuri wa dini, ni hivyo pia utakavyopimwa Mbinguni. (lejea wimbo wa utamtambuaje mtu aliyeokoka nk) ni kwamba hapa hapa duniani unaweza kumtambua mfuasi wa dini.

mf. soma Luke 10 : 25 ( ni nani jirani wako)

25And, behold, a certain lawyer stood up, and tempted him, saying, Master, what shall I do to inherit eternal life?

26He said unto him, What is written in the law? how readest thou?
27And he answering said, Thou shalt love the Lord thy God with all thy heart, and with all thy soul, and with all thy strength, and with all thy mind; and thy neighbour as thyself.
28And he said unto him, Thou hast answered right: this do, and thou shalt live.
29But he, willing to justify himself, said unto Jesus, And who is my neighbour?
30And Jesus answering said, A certain man went down from Jerusalem to Jericho, and fell among thieves, which stripped him of his raiment, and wounded him, and departed, leaving him half dead.
31And by chance there came down a certain priest that way: and when he saw him, he passed by on the other side.
32And likewise a Levite, when he was at the place, came and looked on him, and passed by on the other side.
33But a certain Samaritan, as he journeyed, came where he was: and when he saw him, he had compassion on him,
34And went to him, and bound up his wounds, pouring in oil and wine, and set him on his own beast, and brought him to an inn, and took care of him.
35And on the morrow when he departed, he took out two pence, and gave them to the host, and said unto him, Take care of him; and whatsoever thou spendest more, when I come again, I will repay thee.
36Which now of these three, thinkest thou, was neighbour unto him that fell among the thieves? 37And he said, He that shewed mercy on him. Then said Jesus unto him, Go, and do thou likewise.

pia ukisoma Matthew 16:19 jesus alikuwa akiongea na wanafunzi wake na kuwaambia!!!!!!

And I will give unto thee the keys of the kingdom of heaven: and whatsoever thou shalt bind on earth shall be bound in heaven: and whatsoever thou shalt loose on earth shall be loosed in heaven.

pia ukisoma Matthew 25 kuanzia 31. namna watu watakavyohukumiwa


31When the Son of man shall come in his glory, and all the holy angels with him, then shall he sit upon the throne of his glory:
32And before him shall be gathered all nations: and he shall separate them one from another, as a shepherd divideth his sheep from the goats:
33And he shall set the sheep on his right hand, but the goats on the left.
34Then shall the King say unto them on his right hand, Come, ye blessed of my Father, inherit the kingdom prepared for you from the foundation of the world:
35For I was an hungred, and ye gave me meat: I was thirsty, and ye gave me drink: I was a stranger, and ye took me in:
36Naked, and ye clothed me: I was sick, and ye visited me: I was in prison, and ye came unto me.
37Then shall the righteous answer him, saying, Lord, when saw we thee an hungred, and fed thee? or thirsty, and gave thee drink?
38When saw we thee a stranger, and took thee in? or naked, and clothed thee?
39Or when saw we thee sick, or in prison, and came unto thee?
40And the King shall answer and say unto them, Verily I say unto you, Inasmuch as ye have done it unto one of the least of these my brethren, ye have done it unto me.
41Then shall he say also unto them on the left hand, Depart from me, ye cursed, into everlasting fire, prepared for the devil and his angels:
42For I was an hungred, and ye gave me no meat: I was thirsty, and ye gave me no drink:
43I was a stranger, and ye took me not in: naked, and ye clothed me not: sick, and in prison, and ye visited me not.
44Then shall they also answer him, saying, Lord, when saw we thee an hungred, or athirst, or a stranger, or naked, or sick, or in prison, and did not minister unto thee?
45Then shall he answer them, saying, Verily I say unto you, Inasmuch as ye did it not to one of the least of these, ye did it not to me. 46And these shall go away into everlasting punishment: but the righteous into life eternal.


hivyo ndugu yangu unaweza kupimwa hapahapa, na wanadamu wenzio after all tumeumbwa kwa mfano wake hivyo yale yote unayowafanyia wenzako ndiyo unamfanyia MUNGU.
 
Church politics!!!!

Is true in RC you can do anything in this world and yet yu go to heaven by simply praying to God to move you from 'pagatory' to paradise!

I hope everyone would love that! so as wale watoto wa mama mdogo ukijilipua au vipi unakuta wanawali saba wanakusubiri peponi! LOL!
 
Church politics!!!!

Is true in RC you can do anything in this world and yet yu go to heaven by simply praying to God to move you from 'pagatory' to paradise!

I hope everyone would love that! so as wale watoto wa mama mdogo ukijilipua au vipi unakuta wanawali saba wanakusubiri peponi! LOL!

Wewe hicho unaoona kuwa politics sisi wengine ndiyo imani aliyotuachia Bwana Yesu labda utuambie na wewe ni nabii umekuja wahyi mpya kutoka Mungu. ..zaidi ya hapo wewe tulia keti kitako wakati wengine wakiamini wanachoona kina misingi yake ktk mafundisho ya Yesu Kristu.

BTW, hakuna sehemu inayoitwa pagatory, hiyo labda utakuwa umeiunda wewe kutokana na chuki yako kwa Kanisa Katolik, na nachelea unawezaje ukawa na chuki ya namna hiyo na bado unapata guts za kujitilia ndimu kuwa una uelewa wa elimu za rohoni. Shukran sana kwa hili.

AND FINALLY, sisi tulioamini ktk Ukatoliki tunaamini purgatory (check the spelling correctly) ni sehemu ambapo merehemu walio ktk neema ya kimungu lakini not pure enough kuifikia mbingu hadi kifuani kwa Ibrahimu, hupitia kutakaswa kabla kuingia mbinguni. Kama vile tunavyoamini ktk nguvu za maombi za kanisa la mbinguni kwa kanisa la duniani na kanisa la toharani, pia kwa msingi uleule tunaamini nguvu za maombi za kanisa la duniani kwa kanisa la toharani.

Kama unalo la ziada lilete jamvini, hata kama umedhamiria kulitusi kanisa Katoliki na kulitweza kila nafasi inapopatikana tutakupatia majibu mujarabu. Karibu sana.
 
As much as I respect the religion I believe true sainthood is given by God not by men. Kama Wakristo tunavyo amini ni kwamba hakuna ajuae nafsi ya mtu bali Mungu mwenyewe aliye muumba. All in all it would be great publicity and an honor to Tanzania I guess.

Certainly, but God works through people and life events. To be declared saint is not the same as to be declared holy. Sainthood is acknowledged by humans. That's why the Church is always using 'saint' and not 'holy' although the two words signify the same meaning.

Anyway, to be declared saint means to be officially acknolwedged that one is a role model or icon of exemplary probity and integrity. My experience is that humans can tell this.

The catholic Church has a tradition of recognising/honouring its members who have dedicated their lives for the service of God and human beings in honesty and truth. So, if Nyerere is declared saint it is because his life has become examplary to the Church and people and this the catholic Church wants to recognise officially.

So, it is not true that only God should declare someone saint and even if he does it, it is always through human beings because sainthood has to do with humanity.
 
Back
Top Bottom