Staa na msanii Idris Sultan apaa kimataifa hadi NETFLIX;, kuonekana kwenye filamu ya Slay

Staa na msanii Idris Sultan apaa kimataifa hadi NETFLIX;, kuonekana kwenye filamu ya Slay

Waswahili huwa wanasemaga kuwa bahati yaiji mara mbili, mbona huyu Idriss Sultan zinamjia mara ya pili.

Soon anaweza kurudisha Milioni 500 zake za Big Brother Africa 👏👏💪
 
Nimetazama trailer yake mmmmmmhmn anyways siwezi kusema lolote mapema kwasasa sababu sipendi kuspoil kazi ya mtu.

But tunahitaji sana kutrain talents zetu ili kupata watu levels za kina Morris chestnut, Boris kodjoe, akina Idris elba, tasha smith, Sharon leal, Cicely Tyson, keesha Sharp, Malik Yoba, Nicole Ari Parker, Malinda Williams, Terrence Howard, Vivica Fox... Etc, kwa bongo ni bibi mwenda, waridi, Natasha, monalisa, bishanga, kajala,

Hawa actors huwa wana incorporate reality katika uigizaji wao kiasi kwamba unaweza kutana nae mjini ukajua ni yule yule aliyekuwa unamwona katika TV series.

Hawa watu wanauwezo mzuri na ndio huleta the real entertainment. But naona hata majuu kwenyewe kuna movies madirector wanachemka kumaintain uhalisia wa characters hadi mtu unaona kabisa kuwa hapa natazama maigizo .....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waswahili huwa wanasemaga kuwa bahati yaiji mara mbili, mbona huyu Idriss Sultan zinamjia mara ya pili.

Soon anaweza kurudisha Milioni 500 zake za Big Brother Africa 👏👏💪
Kwani ziliisha ??

Yule mhuni, asingeweza kufulia kizembe
 
Nimetazama trailer yake mmmmmmhmn anyways siwezi kusema lolote mapema kwasasa sababu sipendi kuspoil kazi ya mtu.

But tunahitaji sana kutrain talents zetu ili kupata watu levels za kina Morris chestnut, Boris kodjoe, akina Idris elba, tasha smith, Sharon leal, Cicely Tyson, keesha Sharp, Malik Yoba, Nicole Ari Parker, Malinda Williams, Terrence Howard, Vivica Fox... Etc, kwa bongo ni bibi mwenda, waridi, Natasha, monalisa, bishanga, kajala,

Hawa actors huwa wana incorporate reality katika uigizaji wao kiasi kwamba unaweza kutana nae mjini ukajua ni yule yule aliyekuwa unamwona katika TV series.

Hawa watu wanauwezo mzuri na ndio huleta the real entertainment. But naona hata majuu kwenyewe kuna movies madirector wanachemka kumaintain uhalisia wa characters hadi mtu unaona kabisa kuwa hapa natazama maigizo .....

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado mapema acha na sisi tuiangalie
 
Msanii mahiri wa Tanzania, aliyewahi kuwa mshindi wa Big Brother, Idriss Sultan apata dili la kimataifa la kuonekana kwenye kampuni kubwa ya kuonesha movies ya NETFLIX

View attachment 1754401
Netflix ni ushetani mtupu! Picha yao tu hapo ukiiangalia imenakshiwa rangi zenye ishara ya uchawi na maagano ya kipepo. This guy has already initiated to the devil Kingdom.
 
Kauli kama hizo zako ni wale ambao hua mnaumia roho na mafanikio ya wengine hata kusikia habari zao mnachefukwa
Kuna watu hawajafanikiwa halafu wanatafuta kiki tu. Wala hana role ya maana kwa hio tv show. Alishachezea bahati yake hela alizopata kwa big brother. Hopefully lakini bahati yake itarudi tena. Ila sio hii. Ni kiki tu.
Ps: Update. Yeye naona ni producer wa hio show. Tunamtakia mema katika hilo. Tumemzoea kama mzee wa kiki. Ila tunamwombea katika hili afanye vizuri na kutuwakilisha vizuri.
 
Kuna watu hawajafanikiwa halafu wanatafuta kiki tu. Wala hana role ya maana kwa hio tv show. Alishachezea bahati yake hela alizopata kwa big brother. Hopefully lakini bahati yake itarudi tena. Ila sio hii. Ni kiki tu
Kuwepo kwake inatosha ni hatua kubwa hata Kama ni mlinz getini. Haya tuambie ww role yako kubwa ni ipi?
 
Kuna watu hawajafanikiwa halafu wanatafuta kiki tu. Wala hana role ya maana kwa hio tv show. Alishachezea bahati yake hela alizopata kwa big brother. Hopefully lakini bahati yake itarudi tena. Ila sio hii. Ni kiki tu

Nimeshangaa kwenye hiyo trailer ya dakika moja na nusu hajaonekana, nikataka kuuliza kaigiza kama nani?
 
Kuwepo kwake inatosha ni hatua kubwa hata Kama ni mlinz getini. Haya tuambie ww role yako kubwa ni ipi?
Tunamtakia mema. Ila asichezee bahati zake tena. Ni hilo tu mkuu. Mimi nafasi kama hip ikija sitaichezea kamwe. Ndio hilo tu
 
Value la hilo dili kiasi?

Awachelewi wakipatwa na shida kutembeza bakuri.
 
Back
Top Bottom