TADPOLE
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 2,914
- 9,472
Mamake alikuwa pisi sana enzi zake alikuwa moja ya maqueen wa Bollywood enzi hizoWala sio bongo nimesoma kwenye blog zao wahindi ndugu....!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamake alikuwa pisi sana enzi zake alikuwa moja ya maqueen wa Bollywood enzi hizoWala sio bongo nimesoma kwenye blog zao wahindi ndugu....!!!
Yaani amekufa na uzuri wake,alitetemesha sana enzi hizo Bollywood!Mamake alikuwa pisi sana enzi zake alikuwa moja ya maqueen wa Bollywood enzi hizo
Kumbe tuko wengi tuliomchangia mmbulu mpaka akajenga gorofa kudadadekiKipindi nakuwa nimeiba sana hela home niende kwa Mbuluu pale mbauda na machalii zangu kuangalia picha za kihindi za akina Sunjay Dutty, Sunil Shety, Ajay Devgan, San Deol (Kabangi), Akshay Kumar, Mithun Chakarabot, Amrishpur, Amitah Bachan, Karishma Kapoor nawengineo.
Mambo ya utoto.