Staajabu Siasa za Afrika; Bunge kumchagua Rais mpya nchini Uganda?

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250

Siasa za Afrika ni sawa na mti wenye majani mabichi yanayokufanya upende kwenda kukaa chini yake kwa sababu una kivuri kizuri ilihali chini kuna mchwa wanautafuna.



Nchini Uganda Rais anayesemwa na mpinzani wake kuwa ni dikteta Yoweli Museveni anafikilia kuwanyima haki wananchi wa Uganda kumchagua Rais wao, ambapo anafikilia bunge ndiyo liwe na uwezo wa kumchagua rais mpya.

Bila shaka anapanga kufanya hivi ili kuja kulazimisha mwanawe ndiye aje kuwa rais, huku akijua kuwa hawezi hata kupata kura za kutosha kutoka kwa wananchi.

Hawa ndiyo aina ya viongozi wa kiafrika.
 
Kwenye CCM na Bunge wamejaa watoto wao.
 
Japan huwa wanamchagua waziri mkuu wao?? Hapana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…