Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,646
- 5,606
Nahisi atasema tumefungwa lakini kwa heshimaNina hamu ya kumsikia Manara atasemaje.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi atasema tumefungwa lakini kwa heshimaNina hamu ya kumsikia Manara atasemaje.
Simba wana udhaifu mkubwa sana kwenye uzuiaji wa mapigo ya kona.
Yote kwa yote kila mtu anavuna point nyumbani kwake
Hapana chezea bana kongoNaona wazee wa kikosi kipana leo wamepanuliwa
Mkuu! Leo kweli tumeumia nimekubali kwa upande wangu.Afadhali yako wewe.!
Na hawa jamaa hata nyumbani watatufunga..tuache kujipa moyo wana Msimbazi..Nahisi atasema tumefungwa lakini kwa heshima
Mkuu! Leo kweli tumeumia nimekubali kwa upande wangu.
La TanooooooHalafu ndio wanasema wanawakilisha Taifa kwa aibu hii mnafungwa na watu wanaocheza mziki wa kina darly kimoko Yes we can 5g
Duh na paketi ya pili ndio wanamalizia hivyo, vumbi la Congo!
Hapana tutashinda ila si kwa idadi hii waliyotufunga wao.
Na hawa jamaa hata nyumbani watatufunga..tuache kujipa moyo wana Msimbazi..