Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanaendana hadhira yenu...watu wa mpira akili zao wote zimakaa kiswazi swazi so wenye gazeti wako sawa kabisa...Halafu waandishi wetu wa habari ni hovyo kabisa...baada ya kuandika habari za kuhamisha ushindi na tahadhari wao wanaandika habari kishabiki...yaani habari za mipasho...Eti gazeti kubwa la michezo linaandika habari kishabiki...SIMBA YAFANYA KUFURU KONGO, yapangua hujuma...uandishi wa aina hii ni wa kitoto kabisa...baadala ya gazeti kuandika kwa uchambuzi na kutoa tahadhari eti wenyewe wanaandika habari za kufagilia...in fact maazeti ya Tanzania yana mchango mkubwa katika kuzorotesha na kuathiri maendeleo ya soka nchini mwetu...ovyo sana...baadala ya kuandika habari kuhusu technicalities na tactics za timu pinzani uwanjani eti wao wanaandika habari kishabiki na kwa lengo la kuuza magazeti...ovyo kabisa...
speed ya net imeongezeka 5gGoooooooooooooo
Vital 5-0 andadog
Wahenga washakula tano bilaLeo tunashuka dimbani kucheza mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita Club.
View attachment 999209
Kikosi cha akiba cha Simba
1. Deogratius Munish
2.Paul Bukaba
3.Moahamed Ibrahim
4.Haruna Niyonzima
5. Hassan Dilunga
6. Rashid Juma
7. Shiza Kichuya
Hiki ndio kikosi cha mauaji kitakachoshuka dimbani leo kufanya mauaji
Sent using Jamii Forums mobile app