Stade des Martyrs, Congo: AS Vita Club 5 - 0 Simba SC

Stade des Martyrs, Congo: AS Vita Club 5 - 0 Simba SC

Lile wazo la kwenda ugenini ukiwaza ushindi au DRAW ni baya sana, unacheza bila kujituma na umakini unajikuta unapigwa za kutosha. Ilitakiwa simba waende na wimbo wa ushindi tu, tena ushindi wa nguvu, mawazo ya DRAW ni mabaya sana hasa kwa style ya wachezaji wa ligi za kwetu.
Naunga mkono hoja,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba possession 55% pass accuracy 81% wakati vita 78% dakika ya 68, pass 335 kwa 285 za Vita
 
Naunga mkono hoja,

Sent using Jamii Forums mobile app

Halafu waandishi wetu wa habari ni hovyo kabisa...baada ya kuandika habari za kuhamisha ushindi na tahadhari wao wanaandika habari kishabiki...yaani habari za mipasho...Eti gazeti kubwa la michezo linaandika habari kishabiki...SIMBA YAFANYA KUFURU KONGO, yapangua hujuma...uandishi wa aina hii ni wa kitoto kabisa...baadala ya gazeti kuandika kwa uchambuzi na kutoa tahadhari eti wenyewe wanaandika habari za kufagilia...in fact maazeti ya Tanzania yana mchango mkubwa katika kuzorotesha na kuathiri maendeleo ya soka nchini mwetu...ovyo sana...baadala ya kuandika habari kuhusu technicalities na tactics za timu pinzani uwanjani eti wao wanaandika habari kishabiki na kwa lengo la kuuza magazeti...ovyo kabisa...
 
Back
Top Bottom