Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,629
- 2,733
Wewe Dada una maneno.Asante sana Vita sijui War, kwa kumkamua vizuri hyo Simba jike...Nilisikia Smba jike ana papuchi ngumu sana.. So nashangaa kashakujolewa bao tatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Dada una maneno.Asante sana Vita sijui War, kwa kumkamua vizuri hyo Simba jike...Nilisikia Smba jike ana papuchi ngumu sana.. So nashangaa kashakujolewa bao tatu
Mwaka sasa ni vita 3.....wale jamaa 0Influenza update
Dstv itakua live au marudio,sioni kwny ss9,au game saa ngapi?Dstv wamedhibitisha kuonyesha mechi hii live kupitia supersport 9
Pia Azam Tv wamedhibitisha kuonyesha kupitia ZBC 2
Yes we can
Sahv ni WWE mech hamnaWametudanganya hawa jamaa,
Nimekutana na kitu cha Trans World Sport hapa ss 9.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ayo magoli yameingia haraka haraka hadhi mzuka wa match kutazama unakata.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wakijitahidi wanapata kamoja cha kufutia machoziAyo magoli yameingia haraka haraka hadhi mzuka wa match kutazama unakata.
Naunga mkono hoja,Lile wazo la kwenda ugenini ukiwaza ushindi au DRAW ni baya sana, unacheza bila kujituma na umakini unajikuta unapigwa za kutosha. Ilitakiwa simba waende na wimbo wa ushindi tu, tena ushindi wa nguvu, mawazo ya DRAW ni mabaya sana hasa kwa style ya wachezaji wa ligi za kwetu.
Watani washinde tu,dstv siioni hta kwny guide,lbda kna raia wana Dstv ya nigeria ile