idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Alivyoambiwa Simba ni andadogi hawakuelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alivyoambiwa Simba ni andadogi hawakuelewa.
Pengine ni hivyoTaifa gani la matopeni?
Tangulia wewe unaekufahamu mimi sikujui huko.!Kabisa, ndio maana nikakwambia mpeleke hizo mambo kule ndipo pahala pake
Ahsante jese John vipi vuvuzela lao lipo huko?Kashapigwa 3-0 half time kwako Mwalimu Kashasha.
Awajui kama Mzee mzima anawatazama?.Wamefungwa kona ya hovyo sana, mijitu imesimama tu
Tatizo wana maneno mengiAlivyoambiwa Simba ni andadogi hawakuelewa.
Mkuu kwa style hii unazani tutaupeleka wapi mpira wetu? Hata zamalek hawafanyi hivi kwa Al ahly
Nilijua kabisa tutapigwa nyingi maana jamaa ukiwaona tu wana muonekano wa uchezaji, yaani wana definition ya players.
Unaenda kule unawawekea akina mzamiru. Ndio kukomazwa lakini
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unashauri tufanyeje mkuu?Mkuu kwa style hii unazani tutaupeleka wapi mpira wetu? Hata zamalek hawafanyi hivi kwa Al ahly