Statarea
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 891
- 1,278
Muosha huoshwa, kumbe nawewe mkuu ni wahovyo sana siku hizi?Simba hawana chao hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muosha huoshwa, kumbe nawewe mkuu ni wahovyo sana siku hizi?Simba hawana chao hapa
Nyie endeleeni na possession, ila magoli ni ya Vita, MKAZE VIUNO la sivyo mtakula tano, la tatu na bado.Simba wanamiliki mpira 54% kwa 46%. lakin goli za chap chap 2 zinauma sana dk 14 na dk 19 Vita wametupiga mabao. Sasa ni kama dak 30 hivi
Peleka Instagram na facebook hizi mambo!Half time Vital 3-0 Simba kwako mwalimu Kashasha....
Unakufahamu?Peleka Instagram na facebook hizi mambo!
Unazeeka sasa na unaanza kupungukiwa akili, simba sc inawakilisha Taifa acha umaandazi!half time AS VITA GOLI 3 SIMBA SIFURI
Taifa gani la matopeni?Unazeeka sasa na unaanza kupungukiwa akili, simba sc inawakilisha Taifa acha umaandazi!
Kabisa, ndio maana nikakwambia mpeleke hizo mambo kule ndipo pahala pakeUnakufahamu?
mkuu hivi ulikuwaga wapi?half time AS VITA GOLI 3 SIMBA SIFURI