Stade des Martyrs, Congo: AS Vita Club 5 - 0 Simba SC

Stade des Martyrs, Congo: AS Vita Club 5 - 0 Simba SC

Soooomaa hiyooooo
Screenshot_2019-01-19-19-21-29.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo tunashuka dimbani kucheza mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita Club.

View attachment 999209
Kikosi cha akiba cha Simba
1. Deogratius Munish
2.Paul Bukaba
3.Moahamed Ibrahim
4.Haruna Niyonzima
5. Hassan Dilunga
6. Rashid Juma
7. Shiza Kichuya

Hiki ndio kikosi cha mauaji kitakachoshuka dimbani leo kufanya mauaji

Sent using Jamii Forums mobile app

Hakutakuwa na magoli ya offside leo, hili nina uhakika nalo...Magoli ya offside ni uwanja wa Taifa Dar tu
 
Mnachoza vita wakati kupigana hamuwezi, pambaf zenu, tulieni wanaume wawapase
 
Simba wanamiliki mpira 54% kwa 46%. lakin goli za chap chap 2 zinauma sana dk 14 na dk 19 Vita wametupiga mabao. Sasa ni kama dak 30 hivi
 
Back
Top Bottom