Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
mmelitia tu aibu taifa
Simba tutamsajiliKuna jamaa kiungo wa kati wa as vita aisee yule fundi ana asali miguuni
Hakika kwa hii beki tulionayo ni mzigo kwa kweli, tutajipanga mwakani mungu akitujaliaKuna wanaume wa shoka huko egypt, atakula nyingi sanaa...
Nasubiria kupewa raha zote na Simba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sio leo tu ni siku zoteWinga ya shabalala leo umekuwa uchororo sana