Stade des Martyrs, Congo: AS Vita Club 5 - 0 Simba SC

Stade des Martyrs, Congo: AS Vita Club 5 - 0 Simba SC

msiba upo kongo republic
hautuhusu,msiba unaotuhusu ni wa vyura kufa kizembe mbele wa wapiga debe
 
Hapa lazima tukate rufaa!!!! haiwezekani na sikubali!!!! nitatafuta na sheria za caf tuone kama waasi wa M 23 wanaruhusiwa kushiriki maana wale wachezaji wanariho mbaya sana magoli 6 yaliyotinga nyavuni? hapana sijawahi kuona watu wenye roho mbaya kama wakongo hasa MAKOSU
 
Back
Top Bottom