limbende
JF-Expert Member
- May 14, 2013
- 1,038
- 621
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa lazima tukate rufaa!!!! haiwezekani na sikubali!!!! nitatafuta na sheria za caf tuone kama waasi wa M 23 wanaruhusiwa kushiriki maana wale wachezaji wanariho mbaya sana magoli 6 yaliyotinga nyavuni? hapana sijawahi kuona watu wenye roho mbaya kama wakongo hasa MAKOSU
Naona makwasukwasu mmejaa kwenye huu uzi mnajisahaulisha kipigo chenu mlichopata😂😂😂😂
Kwani kikosi cha stand united kina gharama ya sh ngapiSimba wanajiita matajiri.... Ivi kikosi cha as vital kina gharama ya shingapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi sheria za tff zinaruhusu wapiga debe wa standi kucheza ligi kuu??Hapa lazima tukate rufaa!!!! haiwezekani na sikubali!!!! nitatafuta na sheria za caf tuone kama waasi wa M 23 wanaruhusiwa kushiriki maana wale wachezaji wanariho mbaya sana magoli 6 yaliyotinga nyavuni? hapana sijawahi kuona watu wenye roho mbaya kama wakongo hasa MAKOSU
Weka na picha ya kipigo walichopewa makwasukwasu fc
Stendi united oyeeeeWajameni tuweke uzalendo mbele wote tuimbe Simba oyeeeeee na bakule bakule ya Kinshasa oyaaaaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nmesikia Budget ya AS VITA per year 20 BilSimba wanajiita matajiri.... Ivi kikosi cha as vital kina gharama ya shingapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Vikosi vya simba sita hivyoMkuu nmesikia Budget ya AS VITA per year 20 Bil
Sent from Gamboshi air line
Budget ya stand united per year ni sh ngapiMkuu nmesikia Budget ya AS VITA per year 20 Bil
Sent from Gamboshi air line
Bakongo lizi ni bashenziii mubayaaa!!!Bamutu bakongo bana uroho mubaya sana
Simba walikua wanatania tu kumbe wenzao wako serious.Bamutu bakongo bana uroho mubaya sana
Duh haya ni maneno ya Mcongo aliyeonekana akiwa ameshika vumbi la kongoSimba ako na nyoro laini kila tukitia mubao ni byee
Tulia mkuu.Budget ya stand united per year ni sh ngapi
mkuu sisi tumefungwa na tumeumia but yanga wanataka kujisahaulisha matatizo yao kupitia sisi😂😂Tulia mkuu.
Sent from Gamboshi air line