Stade des Martyrs, Congo: AS Vita Club 5 - 0 Simba SC

Hivi Mwanangu swise ulipita hapa maana sijaona Tag lako Baba. 🀣🀣🀣
 
Jana nilifurahi sana .Hahahaa wale jamaa jezi yao kama ya Yanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kama zetu kabisa. Najiandaa mechi ya marudiano nikawashangilie kwa Mchina. 🀣🀣🀣🀣🀣

Ila jamaa si watu wazuri maana kwa tambo walizonazo Watani zetu wamewafanya kitu kibaya mnoooo. 🀣🀣🀣
 
Samahani hivi tumefungwa kweli 5 au nilikuwa naota maana ndio naamka
 
POLE SANA KWA KUTESEKA MTANI. 🀣🀣🀣🀣🀣 KWA HIZI POST ZAKO NAJIKUTA TU NAAMINI WACONGO SI WATU WAZURI YAANI WAMEKUVURUGA KABISA
Kweli wamenivuruga sanaa..vipi na wewe kipigo chako cha stendi jana hujavurugwa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…