Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaani Mtani pole sana aisee. Najikuta nakuwazia ile Mechi ya Nkana ulivyopata shida sasa leo hawa jamaa walichowafanyia sijui una hali gani. 😀😀😀Watakuja na huku
Sema Mikia Nguvu moja bana.
Hahahaaaa. Hata mie naziona sababu hawa jamaa mbali na kuujua mpira wana Fitna mbaya. Hivyo tuyategemee maafa mengine.Pale unapoona umepata majaribu na yamepita..unajikuta unaletewa majaribu makubwa 10 times.......
Khamsaa nyinginee zileeeView attachment 999426
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana nilifurahi sana .Hahahaa wale jamaa jezi yao kama ya Yanga.Ona sasa [emoji15] Yanga anaingiaje hapo Hahahahaaaaa. Pole sana Swahiba.
Kile ni kipigo kitakatifu. Mkono. Duuuh.
Kama mie Mtani nimefurahi hasaaaa. 💃💃💃💃Watani bhana! kufungwa Simba kumewafurahisha kweli kweli.
Hahahaaa. Mkuu zile Id zile ambazo huwa zinatuchachafya humu ziko wapi.
MDOGO WANGU HAISAIDIII HII SABABU YALISHAPITA HAYO.Someni hapo tusipigazane makelele yasiyo na msingi [emoji847]View attachment 999625View attachment 999626View attachment 999627
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kama zetu kabisa. Najiandaa mechi ya marudiano nikawashangilie kwa Mchina. 🤣🤣🤣🤣🤣
Leo sikuona dana dana kule kishansaMDOGO WANGU HAISAIDIII HII SABABU YALISHAPITA HAYO.
LEO TUNAMZUNGUMZIA MNYAMA, NGUVU MOJA, WA KIMATAIFA, WAZEE WA KUMILIKI, WANAOCHEZA DANADANA UWANJANI NA SIFA NYINGINE KEDEKEDE AMBAZO HAZIKUONEKANA JANA.
Matokeo ya mpira kuna kushinda na kushindwa mimi kama mwana simba wala siwezi kuumia kivile, ni matokeo ya mpira, tugange yajayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa tunaelemewa umiliki wa vita 52% kwa 48% umiliki wa simba
Endelea kutupa updates Mkuu,wengine tupo barabarani
Nyie rudini mje kula viporo.Kwani Yanga mbona kama mnataka kujificha kwenye kichaka cha Simba.
Mmefungwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mie nilishangaa ujue. Noumer sana.Leo sikuona dana dana kule kishansa View attachment 999712
😅😅😅 na ndio kilichobakia.
Hahaaaa. Nimecheka kwa sauti.Samahani hivi tumefungwa kweli 5 au nilikuwa naota maana ndio naamka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Samahani hivi tumefungwa kweli 5 au nilikuwa naota maana ndio naamka
Watu mnafurahia simba kufungwa as if simba inatoka Burundi au Kenya wacheni ufuala bana
Kweli wamenivuruga sanaa..vipi na wewe kipigo chako cha stendi jana hujavurugwa???POLE SANA KWA KUTESEKA MTANI. 🤣🤣🤣🤣🤣 KWA HIZI POST ZAKO NAJIKUTA TU NAAMINI WACONGO SI WATU WAZURI YAANI WAMEKUVURUGA KABISA