Ndio uwezo wao mkuuWamefungwa kona ya hovyo sana, mijitu imesimama tu
Leo tunashuka dimbani kucheza mchezo wa pili wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya AS Vita Club.
View attachment 999209
Kikosi cha akiba cha Simba
1. Deogratius Munish
2.Paul Bukaba
3.Moahamed Ibrahim
4.Haruna Niyonzima
5. Hassan Dilunga
6. Rashid Juma
7. Shiza Kichuya
Hiki ndio kikosi cha mauaji kitakachoshuka dimbani leo kufanya mauaji
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wamefungwa kona ya hovyo sana, mijitu imesimama tu
Hauna kazi ya kufanya?Mnachoza vita wakati kupigana hamuwezi, pambaf zenu, tulieni wanaume wawapase
Nimeshindwa kwakweli...wanivumilie tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa "mzalendo jamani"
MajangaSimba wanamiliki mpira 54% kwa 46%. lakin goli za chap chap 2 zinauma sana dk 14 na dk 19 Vita wametupiga mabao. Sasa ni kama dak 30 hivi