Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Ona sasa,. Kwahiyo unanitishia maisha au sio😂😂😂Hujui ku-share maongezi binafsi (PM) ni kosa?
Haya Buana , sema uachage madharau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ona sasa,. Kwahiyo unanitishia maisha au sio😂😂😂Hujui ku-share maongezi binafsi (PM) ni kosa?
We sema labda hujakutana na changamoto,. Uje kwanza pm nikutumie Screenshot za majibu yao ndio urudi hapa ukomment,.Wewe jirani leo una nini?? Wee hapana labda wengine Payge hapana apandishwe cheo kabisa yuko vizuri..!! 😻
SioHivi kumbe ni mwanamke?😄
Futa hii 😀Cookie inaonekana ni mrembo sana.
Kwanini😉Futa hii 😀
Samahani,Jukwaa la Kimataifa liko wazi, members wengine ni mashahidi. Hakuna aliyewahi kuomba access ya jukwaa hilo.
Jukwaa la Kimataifa liko wazi, members wengine ni mashahidi. Hakuna aliyewahi kuomba access ya jukwaa hilo.
Hawezi kusema kwasababu anajua nimesema ukweli na ushahidi ninao,. Soma comment yake iliyofuata kasema kushare mazungumzo ya Pm ni kosa lasivyo ningewathibitishia ninachokisemaSay something, anything. Well I mean write/post something.
celix na Active wako poa sana.Staff members wanapiga kazi kubwa sana, leo nimejisikia tu kuwapost😁.
Tag staff member wako mmoja unaemkubali sana, hata kama ashawahi kukufutia uzi au kukulamba block/ban then ukamjua we mtaje tu maana sisi wote ni people.
View attachment 3226026
View attachment 3226027
View attachment 3226028
View attachment 3226029
Itakuwa hamjaelewana mbona Payge muelewa sana jirani..!!We sema labda hujakutana na changamoto,. Uje kwanza pm nikutumie Screenshot za majibu yao ndio urudi hapa ukomment,.
Kwanza hii id sikuwa na Access nayo mpaka nilimpigia Mello whatsap ndio akanisaidia kunitengenezea passwords zingine ndio nikafanikiwa ila hawa ndugu zake ni Jau sana🚮
Umekosea sana kusema ni mrembo Au ngoja nikuombee msamaha kwa brother Cookie hapa 😀Kwanini😉
Mnaangalia picha zangu PM?
Sometimes wanakera mnoItakuwa hamjaelewana mbona Payge muelewa sana jirani..!!
Basi samehe saba mara sabini maisha yaendelee jirani, changamoto za kutokuelewana huwa zipo..!! Kuna muda hata sisi member ni wasumbufu na wajuaji 😹😹
Daah eti 8 views😂😂😂😂🚮Mnaangalia picha zangu PM?
Kuna picha fulani nilipewa PM,
Niliifungua mara moja tu, tokea hapa ikawa inagoma.
Na mpaka sasa inasoma 8 views.
Mnavunja faragha sio?
Itakuwa picha zenu za chudai mfyuuu.!! 😹😹Mnaangalia picha zangu PM?
Kuna picha fulani nilipewa PM,
Niliifungua mara moja tu, tokea hapa ikawa inagoma.
Na mpaka sasa inasoma 8 views.
Mnavunja faragha sio?
NdioKumbe ni brother?🤔
Paw na Cookie kitambo mno toka nipo 22 floor mpaka leo nipo 35+ floor bado wapo tu