Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kuna siku nilikuwa nachat na Fake P mara tukaona watu 5 ndio tupoMnaangalia picha zangu PM?
Kuna picha fulani nilipewa PM,
Niliifungua mara moja tu, tokea hapa ikawa inagoma.
Na mpaka sasa inasoma 8 views.
Mnavunja faragha sio?