Staff members wa JF waliopo online

Wewe jirani leo una nini?? Wee hapana labda wengine Payge hapana apandishwe cheo kabisa yuko vizuri..!! ๐Ÿ˜ป
We sema labda hujakutana na changamoto,. Uje kwanza pm nikutumie Screenshot za majibu yao ndio urudi hapa ukomment,.
Kwanza hii id sikuwa na Access nayo mpaka nilimpigia Mello whatsap ndio akanisaidia kunitengenezea passwords zingine ndio nikafanikiwa ila hawa ndugu zake ni Jau sana๐Ÿšฎ
 
Jukwaa la Kimataifa liko wazi, members wengine ni mashahidi. Hakuna aliyewahi kuomba access ya jukwaa hilo.
Samahani,
Kwanza haikuwa wewe asee ilikuwa ni YinYang ktk jukwaa la Great thinker forum. Siyo jukwaa la kimataifa nimechanganya hapo.
Pole kwa usumbufu.
Jukwaa la Kimataifa liko wazi, members wengine ni mashahidi. Hakuna aliyewahi kuomba access ya jukwaa hilo.
 
Itakuwa hamjaelewana mbona Payge muelewa sana jirani..!!

Basi samehe saba mara sabini maisha yaendelee jirani, changamoto za kutokuelewana huwa zipo..!! Kuna muda hata sisi member ni wasumbufu na wajuaji ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ