Staff members wa JF waliopo online

Staff members wa JF waliopo online

Ila ni jamaa yangu mzuri tu maana kuna mda huwa naona reacts zake za emoji za kucheka kwenye posts zangu 😁, Kama itampendeza namuomba akomenti hata kidogo ,
Mie labda Maxence Melo ndio naonaga anakuwa serious mtu ukiwa na changamoto ila hawa wengine wanajivuta sana tofauti na wanavyokuwaga chap kwenye kutoa Ban
 
Staff members wanapiga kazi kubwa sana, leo nimejisikia tu kuwapost😁.

Tag staff member wako mmoja unaemkubali sana, hata kama ashawahi kukufutia uzi au kukulamba block/ban then ukamjua we mtaje tu maana sisi wote ni people.

View attachment 3226026
View attachment 3226027
View attachment 3226028
View attachment 3226029
Samahani,si wengine ni wageni kidogo humu,unaposema staff members,je wamaanisha wafanyakazi wa jf??au tulojiunga humu?! Na je staff anaweza kuwa na titles kama expert member,platinum member nk?
 
Watajuana wenyewe huko na anayewalipa mshahara
Watakupiga ban hao shauriyako moja ya kazi inayowalipa vizuri ni kupiga watu ban yaan ukimtia mtu ban kuna bonus ni sawa na ukiambiwa wanafunzi wakipiga A kuna bonus ya malipo kwa hio wakitoka wanahesabu leo wameondoka na ban ngapi chapu wanaenda kuomba bonus yao ya malipo ban ni dili
 
Watakupiga ban hao shauriyako moja ya kazi inayowalipa vizuri ni kupiga watu ban yaan ukimtia mtu ban kuna bonus ni sawa na ukiambiwa wanafunzi wakipiga A kuna bonus ya malipo kwa hio wakitoka wanahesabu leo wameondoka na ban ngapi chapu wanaenda kuomba bonus yao ya malipo ban ni dili
Do i look like i care??,.
MIe ban wanipige chamsingi wanipe na sababu ya kueleweka
 
Back
Top Bottom