The introvert
JF-Expert Member
- Sep 15, 2023
- 701
- 1,522
- Thread starter
- #21
😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado mpk tustafishwe kama mwenyekiti wa chadomo!
KUna kipindi pale katikati mwaka jana alinifululizia ban hadi sio poa,. Ikabidi niwe tu mpole sikuwa na namna🤒🤒😹😹 Kuna muda anaboa ila 🤣
Nilikula ban kila nikimuelezea hiyo ban nimepewa kimakosa hanielewi, mpk nilimuomba link ya staff nikajitolee ban mwenyewe aliishia kucheka..!!
Hawajai kunijiibu kwa wakati nikiwa na changamoto mpaka niwatukane ndio waitane wote waje kujibu pm yangu kwa pamoja
Mie labda Maxence Melo ndio naonaga anakuwa serious mtu ukiwa na changamoto ila hawa wengine wanajivuta sana tofauti na wanavyokuwaga chap kwenye kutoa BanIla ni jamaa yangu mzuri tu maana kuna mda huwa naona reacts zake za emoji za kucheka kwenye posts zangu 😁, Kama itampendeza namuomba akomenti hata kidogo ,
Ukitaka mtu apigwe ban ndio hizo dhana zako za kivita
Jaribu kuwatukana ndio utaona kama walikuwa busy au laah😄Ubize mwingi itakuwa 😁
Looh🤒bado mpk tustafishwe kama mwenyekiti wa chadomo!
Hawachelewi kukupiga ban halafu msiwatag tag km hamna jambo la muhimu hawapendi ndio mnazikaribisha banJaribu kuwatukana ndio utaona kama walikuwa busy au laah😄
Watajuana wenyewe huko na anayewalipa mshaharaHawachelewi kukupiga ban halafu msiwatag tag km hamna jambo la muhimu hawapendi ndio mnazikaribisha ban
Samahani,si wengine ni wageni kidogo humu,unaposema staff members,je wamaanisha wafanyakazi wa jf??au tulojiunga humu?! Na je staff anaweza kuwa na titles kama expert member,platinum member nk?Staff members wanapiga kazi kubwa sana, leo nimejisikia tu kuwapost😁.
Tag staff member wako mmoja unaemkubali sana, hata kama ashawahi kukufutia uzi au kukulamba block/ban then ukamjua we mtaje tu maana sisi wote ni people.
View attachment 3226026
View attachment 3226027
View attachment 3226028
View attachment 3226029
We ni mod tunakujua.Cookie inaonekana ni mrembo sana.
😹😹 Mimi napewa ban mpk sio pouwa, ss hivi najionea kawaida.!!KUna kipindi pale katikati mwaka jana alinifululizia ban hadi sio poa,. Ikabidi niwe tu mpole sikuwa na namna🤒🤒
Watakupiga ban hao shauriyako moja ya kazi inayowalipa vizuri ni kupiga watu ban yaan ukimtia mtu ban kuna bonus ni sawa na ukiambiwa wanafunzi wakipiga A kuna bonus ya malipo kwa hio wakitoka wanahesabu leo wameondoka na ban ngapi chapu wanaenda kuomba bonus yao ya malipo ban ni diliWatajuana wenyewe huko na anayewalipa mshahara
Do i look like i care??,.Watakupiga ban hao shauriyako moja ya kazi inayowalipa vizuri ni kupiga watu ban yaan ukimtia mtu ban kuna bonus ni sawa na ukiambiwa wanafunzi wakipiga A kuna bonus ya malipo kwa hio wakitoka wanahesabu leo wameondoka na ban ngapi chapu wanaenda kuomba bonus yao ya malipo ban ni dili
Sinaga huo muda wa kuwaombea watu ban, kwanza hata hao mods watanishangaa..!!Ukitaka mtu apigwe ban ndio hizo dhana zako za kivita