Bra-joe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,628
- 1,124
Ndoa hizo huwa za shinikizo kukwepa aibu, binti anaechungwa sana akitiwa ujauzito wazazi wake hulazimisha aliyempa ujauzito huo amuoe, pia wanaume wengi wanaofunga ndoa hizi huwa ni watoto wao wa kwanza, hivyo huwa na furaha na kutaka kuishi pamoja na mama na mtoto. Ndoa hizi mara nyingi hazidumu. Siyo staili mpya ya kufunga ndoa ni matokeo ya kuanguka kwa maadili.