Staili mpya ya kufunga ndoa yaingia.

Staili mpya ya kufunga ndoa yaingia.

Kwasasa ni bora UOE Mwanamke akiwa na ujauzito manake unawza uziwa mbuzi kwenye gunia ndugu yangu. Wanawake wa kizazi hiki wamezidi kutoa mimba mwishowe wanashindwa kupata Ujauzito kwa kuchezea vizazi vyao mwisho mimba inadunda kwenye ukuta inarudi unategemea nini sasa hapo?

Kizazi ukikitibua sana kwa kutoa mimba kinalegea ndio maana kuna umuhimu wa kuoa demu ambaye umeshamzalisha au akiwa ana Ujauzito ili kukwepa matatizo ya masister du wa kileo.

Ila hata wanaume nao siku hizi kiwango kimeshuka hivyo na kinadada nao wana advantage maana wanajua mwanaume alienae yupo safi (nadhani tusi-judge kwa upande mmoja maana hili tatizo pia lipo kwa wanaume pia hivyo hata mwanamke nae atakuwa hajauziwa mbuzi kwenye gunia)
 
ujue nn vile samtymz tatizo sio kwa mwanamke kutozaa ila kile kibamia kikiwa inch 8 mpaka 9 kinasukuma uterus to an extent that the woman can't conceive sidhani kama wanaume wanaufahamu juu ya hili kwasababu ikitokea mtoto hajapatikana mwanamke ndo analaumiwa while it might not be the case au labda mwanaume ana produce low sperm count afu hazina nguvu so fertilization haiwezi tokea kama sperms haziwezi kuogelea mpaka kwenye ovum for fertilization wat do you expect ,mupo wanaume

Hapo umenena maana kuna vidume vingine vinajua kitu kikiwa kina uwezo wa kusimama bila support for a long period basi huwa anajiona yupo fit kumbe kuna ambao wanalea watoto si wao na wakienda kupimwa utakuta wengine hawana uwezo wa kumpa mimba mwanamke
 
hivi kwani tunaolewa ili tuzae???

mie mbona nimepanga kutokuwa na mtoto,does that mean na mume nipotezee?:wacko::A S-baby:

Mume lazima ila si unachagua ambae tayari alishakuwa na watoto maana kwa maisha yetu ya kibantu mwanaume wa kiswazi lazima atake mtoto wa ukumbusho
 
Unajua unaweza kwa sasa unaweza oa mwanamke ambaye kizazi kimeharibika na hazai tena, kutokana na wengi kutumia madawa ya kuzuia mimba kwa muda mrefu. Nina rafiki aliyeoa mwanamke ambaye alisha zaa na jamaa mwingine lakini yeye hakuweza pachikwa kizaigoti jamaa akaamua kutoka nje na ana watoto 2 nje ya ndoa lakini kwa mkewe hamna kitu.

Wengi wanaume kutokana nahilo wanaamua kutest zali kwanza akiona mwanamke hatemi mate mwaka mzima anatoka unyoya......

Wanasoma alama za nyakati teh teh teh tehh uuuuhahahahaha......
I say mwambie jamaa yako afanye DNA hao watoto sio wake huyo ndio kauziwa mbuzi kwa mlio,
 
hili halikuanza leo wala jana lipo muda mrefu sana, na si muhimu sana kumlaumu mwanamke kozi mens wengi hawataki kuuziwa mbuzai kwenye junia, pia wengine mimba ndizo zinasukuma uwepo wa ndoa, Mi niliwahi ambiwa na babu yangu mwaka 1981 kwamba unaweza kuoa mwanamke mwenye kikwapa (harufu kali baada ya tendo la ndoa) na akasema wengine wanamikosi, kujua hayo nilazima usex uone matokeo yake, usipofanya hivo ukioa ndoa itavunjika within no time,
 
Nxhaaah........kwa hiyo ewe Tegemea, sasa unataka kusemaje hapo............?!?!?!?!?!

Hii ishu ya kwenda kufungishwa ndoa "watu watatu" sioni kama imekaa vizuri kwakweli!!!

Mwaweza kukubaliana kucheki afya na kila kitu katika via vya uzazi kuona kama viko fresh au la....lkn hii style siifagilii kabisa!

Like...
 
ivi wewe unajua maana ya ndoa wewe??unatakiwa uwe na mtu kwenye shida na raha..

hata ukiuziwa mbuzi kwenye gunia wako-mtunze!eti mnaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia??that is the lowest explanation of them all..take responsibility of the un-protected sex you had instead of justifying it

co kosa lako umeathiriwa na bongo movie mpaka unashndwa kutofautisha fantasy na reality.
4 ur information hii k2 ya kutest mashine hata huko western world ulipocopy hzi -ve ideas zako wanafanya. Ask google upate statistics wanawake wangap wanaolewa kwenye nchi za European union wakiwa na mimba. Acha kupanic dada wanajamvi tutahic labda na wewe ndo walewale huna kizazi
 
hivi kwani tunaolewa ili tuzae???

mie mbona nimepanga kutokuwa na mtoto,does that mean na mume nipotezee?:wacko::A S-baby:

ukshapata mchumba mwambie huna mpango wa kuzaa uone kama hata mtafika hyo stage ya kumuita mume, plan zako nzuri lakini znaapply Utopia co kwny real world
 
Habari zenu wa TZ.
Tangu huu mwaka uanze nimehudhuria harusi nne tofauti, huwezi amin zote ukiangalia ni kwamba bwana harusi ametupia kwanza a.k.a PILOT.
YAANI MABIBI HARUSI NI WAJAWAZITO tena wanakua karibu kuzaa. Imekua ndo stail hapa mjin.

Kutoka na hilo, nafikiria kuwa enterpreneur kwa kufungua duka la shela za wadada wajawazito (lady in preginancy gown).

Kwa hii stail ya harusi jamani naona haijakaa vizuri, yaani hata heshima ya ndoa, ibada ya ndoa inapungua.

Halafu mkimaliza harusi, mnaenda honeymoon.

Wadada please, jitahidini kusubiri ndoa kisha ndo muanze kutafuta watoto.

Wewe unawashauri hivyo kama nani? kwa authority gani? Au una condescend tu?

Kama sharti la ndoa zao ni kutest fertility fully kwanza kabla ya kuoa utawaambia nini?
 
ukshapata mchumba mwambie huna mpango wa kuzaa uone kama hata mtafika hyo stage ya kumuita mume, plan zako nzuri lakini znaapply Utopia co kwny real world

mkuu jodoki kaniambia nitafute mwanaume mwenye watoto tayari,so sio ishu...ipotezee:A S-baby:
 
Last edited by a moderator:
Ila hata wanaume nao siku hizi kiwango kimeshuka hivyo na kinadada nao wana advantage maana wanajua mwanaume alienae yupo safi (nadhani tusi-judge kwa upande mmoja maana hili tatizo pia lipo kwa wanaume pia hivyo hata mwanamke nae atakuwa hajauziwa mbuzi kwenye gunia)

Who told you that?

Mademu asilimia kubwa wazushi sana.
 
co kosa lako umeathiriwa na bongo movie mpaka unashndwa kutofautisha fantasy na reality.
4 ur information hii k2 ya kutest mashine hata huko western world ulipocopy hzi -ve ideas zako wanafanya. Ask google upate statistics wanawake wangap wanaolewa kwenye nchi za European union wakiwa na mimba. Acha kupanic dada wanajamvi tutahic labda na wewe ndo walewale huna kizazi

at least europe wanaume wana better tolerance,wengi wanaoana hivyo hivyo hata kama mmoja hana uwezo wa kuzaa,na wengi wana adopt watoto, na kukeep pets....siku zinakwenda.
 
Who told you that?

Mademu asilimia kubwa wazushi sana.

Pamoja na uzushi wao kwa asilimia kubwa (sikubishii) ila kuna haja ya kuangalia upande wa pili wa shilingi, kuna bunduki siku hizi zinafanya kazi vizuri sana lakini risasi zinazotoka hazina tija
 
Back
Top Bottom