kwenye red..ndo unamsifia huyo rafiki yako au??stupid!!na umesikia wapi dawa za kuzuia mimba zinaharibu kizazi??do your research before you speak..unaonekana mpumbavu!
matuya nini kwa great thinker?
kwani wadada wanapata hiso mimba kwa kuotesha tu??mwanaume hana part to play kabisa??kwa nini mwanamke asuburi mpaka ndoa ila mwanamme akitembeze tu??this type of though is soo 18th century!
Unataka kusema ni ngono nzembe AU wanafanya makusudi?
Habari zenu wa TZ.
Tangu huu mwaka uanze nimehudhuria harusi nne tofauti, huwezi amin zote ukiangalia ni kwamba bwana harusi ametupia kwanza a.k.a PILOT.
YAANI MABIBI HARUSI NI WAJAWAZITO tena wanakua karibu kuzaa. Imekua ndo stail hapa mjin.
Kutoka na hilo, nafikiria kuwa enterpreneur kwa kufungua duka la shela za wadada wajawazito (lady in preginancy gown).
Kwa hii stail ya harusi jamani naona haijakaa vizuri, yaani hata heshima ya ndoa, ibada ya ndoa inapungua.
Halafu mkimaliza harusi, mnaenda honeymoon.
Wadada please, jitahidini kusubiri ndoa kisha ndo muanze kutafuta watoto.
Both ways benefited
Mme - Most of bachoelor want to taste and see the performance and then only thinking of commitment, wanasema hawataki kuuziwa mbuzi kwenye gunia lazima ataste kidogo.
Mke - use this for those bachelor who are attached to bachelorhood and commitment seems longway to go, so shortcut ni kubeba mimba tu and leaves no other options except marriage for atleast considerate man.
Sifa moja kubwa ya MJASIAMALI ni kuangalia fursa zilizopo nakuja na idea nzuri ambayo itaondoa tatizo lililopo la kutokuwepo LADY IN PREGNANCY GOWN then kwa upande wa pili linamwingizia kipato na si kubaki kulalamika. BIG UP KOMAA NA IDEA wateja atakutafutia Neema
Habari zenu wa TZ.
Tangu huu mwaka uanze nimehudhuria harusi nne tofauti, huwezi amin zote ukiangalia ni kwamba bwana harusi ametupia kwanza a.k.a PILOT.
YAANI MABIBI HARUSI NI WAJAWAZITO tena wanakua karibu kuzaa. Imekua ndo stail hapa mjin.
Kutoka na hilo, nafikiria kuwa enterpreneur kwa kufungua duka la shela za wadada wajawazito (lady in preginancy gown).
Kwa hii stail ya harusi jamani naona haijakaa vizuri, yaani hata heshima ya ndoa, ibada ya ndoa inapungua.
Halafu mkimaliza harusi, mnaenda honeymoon.
Wadada please, jitahidini kusubiri ndoa kisha ndo muanze kutafuta watoto.
kwenye red..ndo unamsifia huyo rafiki yako au??stupid!!na umesikia wapi dawa za kuzuia mimba zinaharibu kizazi??do your research before you speak..unaonekana mpumbavu![/QUOTE
Phina usijichoshe...post zingine zinakera sana, kwake yeye anaona sifa
Is it true?Both ways benefited
Mme - Most of bachoelor want to taste and see the performance and then only thinking of commitment, wanasema hawataki kuuziwa mbuzi kwenye gunia lazima ataste kidogo.
Mke - use this for those bachelor who are attached to bachelorhood and commitment seems longway to go, so shortcut ni kubeba mimba tu and leaves no other options except marriage for atleast considerate man.
mhh!! kwenye thread za 'mume/mke ni mgumba/hapandi mtungi' watu wanashauri 'shake well before use'. Kwenye thread hii watu wanashauri wakaka/dada wasubiri mpaka ndoa ndio waduu. naona kuna ukinzani wa mawazo. make up your minds people
ujue nn vile samtymz tatizo sio kwa mwanamke kutozaa ila kile kibamia kikiwa inch 8 mpaka 9 kinasukuma uterus to an extent that the woman can't conceive sidhani kama wanaume wanaufahamu juu ya hili kwasababu ikitokea mtoto hajapatikana mwanamke ndo analaumiwa while it might not be the case au labda mwanaume ana produce low sperm count afu hazina nguvu so fertilization haiwezi tokea kama sperms haziwezi kuogelea mpaka kwenye ovum for fertilization wat do you expect ,mupo wanaumeKwasasa ni bora UOE Mwanamke akiwa na ujauzito manake unawza uziwa mbuzi kwenye gunia ndugu yangu. Wanawake wa kizazi hiki wamezidi kutoa mimba mwishowe wanashindwa kupata Ujauzito kwa kuchezea vizazi vyao mwisho mimba inadunda kwenye ukuta inarudi unategemea nini sasa hapo?
Kizazi ukikitibua sana kwa kutoa mimba kinalegea ndio maana kuna umuhimu wa kuoa demu ambaye umeshamzalisha au akiwa ana Ujauzito ili kukwepa matatizo ya masister du wa kileo.
Mimba ya kwanza inaweza kua shwari lakini zinazofuata zika sumbua.Mifano ipo mingi sana.