Stamina ya mwanaume katika tendo la ndoa kabla ya mshindo

Stamina ya mwanaume katika tendo la ndoa kabla ya mshindo

OCC Doctors

Senior Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
113
Reaction score
172
Kumwaga mbegu kabla ya wakati (Prеmаturе ejaculation) ndio dalili kikuu ya upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume. Ni hali ya mwanaume kushindwa kuchelewesha msimamo wa tendo la ndoa ili kufaidisha na upande wa pili kwa mwenza wake.

Nguvu za kiume hutofautiana kwa mtu mmoja hadi mwingine. Kumwaga mbegu ndani ya dk5 hadi 15 bado ni udhaifu. Msimamo wa kawaida unatakiwa kuendelea walau kwa uchache dk30 hadi 40 bila umwagaji wa mbegu.

Wanawake mara nyingi huchukua muda mrefu zaidi kupandisha hisia na kufikia kilele cha tendo kuliko wanaume. Wanawake wanatatizika na wanaume wanaowahi kumaliza mshindo, na huvutiwa na kupendezwa zaidi na wanaume wenye kustahimili msimamo.

Kuna athari za kisaikolojia ikiwa mwanamke hafikii mshindo wa tendo la ndoa. Athari hizi hujumuisha muitikio wa afya ya akili ikiwemo kutojiamini au kuwa na wasiwasi, hasira za mara kwa mara na kujihisi mpweke. Mwanamke huchanganyikiwa zaidi apatapo habari hizo za kufika kileleni kutoka kwa rafiki zake.

May-memories!-sunshine,-smiles,-and-spontaneous-moments.-#MayDump-#GoodVibesOnly#newchapterbeg...jpg
 
Kumwaga mbegu kabla ya wakati (Prеmаturе ejaculation) ndio dalili kikuu ya upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume. Ni hali ya mwanaume kushindwa kuchelewesha msimamo wa tendo la ndoa ili kufaidisha na upande wa pili kwa mwenza wake.

Nguvu za kiume hutofautiana kwa mtu mmoja hadi mwingine. Kumwaga mbegu ndani ya dk5 hadi 15 bado ni udhaifu. Msimamo wa kawaida unatakiwa kuendelea walau kwa uchache dk30 hadi 40 bila umwagaji wa mbegu.

Wanawake mara nyingi huchukua muda mrefu zaidi kupandisha hisia na kufikia kilele cha tendo kuliko wanaume. Wanawake wanatatizika na wanaume wanaowahi kumaliza mshindo, na huvutiwa na kupendezwa zaidi na wanaume wenye kustahimili msimamo.

Kuna athari za kisaikolojia ikiwa mwanamke hafikii mshindo wa tendo la ndoa. Athari hizi hujumuisha muitikio wa afya ya akili ikiwemo kutojiamini au kuwa na wasiwasi, hasira za mara kwa mara na kujihisi mpweke. Mwanamke huchanganyikiwa zaidi apatapo habari hizo za kufika kileleni kutoka kwa rafiki zake.

View attachment 3053861
Kiongozi mbona kama uzi unaendelea
 
Kumwaga mbegu kabla ya wakati (Prеmаturе ejaculation) ndio dalili kikuu ya upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume. Ni hali ya mwanaume kushindwa kuchelewesha msimamo wa tendo la ndoa ili kufaidisha na upande wa pili kwa mwenza wake.

Nguvu za kiume hutofautiana kwa mtu mmoja hadi mwingine. Kumwaga mbegu ndani ya dk5 hadi 15 bado ni udhaifu. Msimamo wa kawaida unatakiwa kuendelea walau kwa uchache dk30 hadi 40 bila umwagaji wa mbegu.

Wanawake mara nyingi huchukua muda mrefu zaidi kupandisha hisia na kufikia kilele cha tendo kuliko wanaume. Wanawake wanatatizika na wanaume wanaowahi kumaliza mshindo, na huvutiwa na kupendezwa zaidi na wanaume wenye kustahimili msimamo.

Kuna athari za kisaikolojia ikiwa mwanamke hafikii mshindo wa tendo la ndoa. Athari hizi hujumuisha muitikio wa afya ya akili ikiwemo kutojiamini au kuwa na wasiwasi, hasira za mara kwa mara na kujihisi mpweke. Mwanamke huchanganyikiwa zaidi apatapo habari hizo za kufika kileleni kutoka kwa rafiki zake.

View attachment 3053861
Mtihani huu sio mdogo.Dawa yake ni nini?
 
Kumwaga mbegu kabla ya wakati (Prеmаturе ejaculation) ndio dalili kikuu ya upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume. Ni hali ya mwanaume kushindwa kuchelewesha msimamo wa tendo la ndoa ili kufaidisha na upande wa pili kwa mwenza wake.

Nguvu za kiume hutofautiana kwa mtu mmoja hadi mwingine. Kumwaga mbegu ndani ya dk5 hadi 15 bado ni udhaifu. Msimamo wa kawaida unatakiwa kuendelea walau kwa uchache dk30 hadi 40 bila umwagaji wa mbegu.

Wanawake mara nyingi huchukua muda mrefu zaidi kupandisha hisia na kufikia kilele cha tendo kuliko wanaume. Wanawake wanatatizika na wanaume wanaowahi kumaliza mshindo, na huvutiwa na kupendezwa zaidi na wanaume wenye kustahimili msimamo.

Kuna athari za kisaikolojia ikiwa mwanamke hafikii mshindo wa tendo la ndoa. Athari hizi hujumuisha muitikio wa afya ya akili ikiwemo kutojiamini au kuwa na wasiwasi, hasira za mara kwa mara na kujihisi mpweke. Mwanamke huchanganyikiwa zaidi apatapo habari hizo za kufika kileleni kutoka kwa rafiki zake.

View attachment 3053861
Sio kweli.
Kwa maandishi haya unaonekana si mtaalam wa afya.
Mwanaume kikawaida kabisa na kiafya anatakiwa kuweza kuhimili tendo ndani ya dakika 5 mpaka 15 tu. Zingine za nyongeza ni kutokana na experience ya mhusika.

Acha kuwadanganya watu , wazungu wameshafanya tafiti za kutosha. Huu ni upotoshaji.
 
Kumwaga mbegu kabla ya wakati (Prеmаturе ejaculation) ndio dalili kikuu ya upungufu wa nguvu za kiume kwa wanaume. Ni hali ya mwanaume kushindwa kuchelewesha msimamo wa tendo la ndoa ili kufaidisha na upande wa pili kwa mwenza wake.

Nguvu za kiume hutofautiana kwa mtu mmoja hadi mwingine. Kumwaga mbegu ndani ya dk5 hadi 15 bado ni udhaifu. Msimamo wa kawaida unatakiwa kuendelea walau kwa uchache dk30 hadi 40 bila umwagaji wa mbegu.

Wanawake mara nyingi huchukua muda mrefu zaidi kupandisha hisia na kufikia kilele cha tendo kuliko wanaume. Wanawake wanatatizika na wanaume wanaowahi kumaliza mshindo, na huvutiwa na kupendezwa zaidi na wanaume wenye kustahimili msimamo.

Kuna athari za kisaikolojia ikiwa mwanamke hafikii mshindo wa tendo la ndoa. Athari hizi hujumuisha muitikio wa afya ya akili ikiwemo kutojiamini au kuwa na wasiwasi, hasira za mara kwa mara na kujihisi mpweke. Mwanamke huchanganyikiwa zaidi apatapo habari hizo za kufika kileleni kutoka kwa rafiki zake.

View attachment 3053861
Kama kimaumbile mwanamke anachelewa kufika basi ilo sio tatizo la mwanaume. Ukisema mwanaume ajizuie ili kumfaidisha mwenzake maana yake mwanaume hana tatizo isipokua anamfanyia favor mwenzake. Kilele cha tendo ni kufika kileleni sasa kati ya anaewahi na anaechelewa au hafiki kabisa ni nani mwenye tatizo?

Wapo wanawake wanaofika kilele hata ndani ya dakika 5 tu ni suala la uamuzi na utimilifu wa kimaumbile wa mwanamke mwenyewe. Unafanya sex na mwanamke ana maex 7 muda wote wa shughuli anakulinganisha na maex wake, mwanamke ashaalibu afya kwa kula chipsi mayai, piza n.k, mwanamke anawaza utamuachia shilingi ngapi wakati wa kuondoka unategemea nini hapo.

Hii tabia ya kurusha lawama kwa wanaume tu inafanya wanawake wanajisahau na matokeo yake hawataki au hawajui na wao wanatakiwa kuwajibika. Kinachoitwa upungufu wa nguvu za kiume ni stereotype tu kwenye jamii ila tatizo haswa lipo upande wa mwanamke
 
Kama kimaumbile mwanamke anachelewa kufika basi ilo sio tatizo la mwanaume. Ukisema mwanaume ajizuie ili kumfaidisha mwenzake maana yake mwanaume hana tatizo isipokua anamfanyia favor mwenzake. Kilele cha tendo ni kufika kileleni sasa kati ya anaewahi na anaechelewa au hafiki kabisa ni nani mwenye tatizo?

Wapo wanawake wanaofika kilele hata ndani ya dakika 5 tu ni suala la uamuzi na utimilifu wa kimaumbile wa mwanamke mwenyewe. Unafanya sex na mwanamke ana maex 7 muda wote wa shughuli anakulinganisha na maex wake, mwanamke ashaalibu afya kwa kula chipsi mayai, piza n.k, mwanamke anawaza utamuachia shilingi ngapi wakati wa kuondoka unategemea nini hapo.

Hii tabia ya kurusha lawama kwa wanaume tu inafanya wanawake wanajisahau na matokeo yake hawataki au hawajui na wao wanatakiwa kuwajibika. Kinachoitwa upungufu wa nguvu za kiume ni stereotype tu kwenye jamii ila tatizo haswa lipo upande wa mwanamke
Kiongozi....una hoja usikilizwe👍🏿👍🏿👍🏿
 
Kama kimaumbile mwanamke anachelewa kufika basi ilo sio tatizo la mwanaume. Ukisema mwanaume ajizuie ili kumfaidisha mwenzake maana yake mwanaume hana tatizo isipokua anamfanyia favor mwenzake. Kilele cha tendo ni kufika kileleni sasa kati ya anaewahi na anaechelewa au hafiki kabisa ni nani mwenye tatizo?

Wapo wanawake wanaofika kilele hata ndani ya dakika 5 tu ni suala la uamuzi na utimilifu wa kimaumbile wa mwanamke mwenyewe. Unafanya sex na mwanamke ana maex 7 muda wote wa shughuli anakulinganisha na maex wake, mwanamke ashaalibu afya kwa kula chipsi mayai, piza n.k, mwanamke anawaza utamuachia shilingi ngapi wakati wa kuondoka unategemea nini hapo.

Hii tabia ya kurusha lawama kwa wanaume tu inafanya wanawake wanajisahau na matokeo yake hawataki au hawajui na wao wanatakiwa kuwajibika. Kinachoitwa upungufu wa nguvu za kiume ni stereotype tu kwenye jamii ila tatizo haswa lipo upande wa mwanamke
Mwanamke asipokua tayari kufika kileleni, wewe mwanaume hata uchochee saa nzima utakua ni sawa unatwanga maji kwene kinu.

Na bado utalaumiwa wewe.
 
Kama kimaumbile mwanamke anachelewa kufika basi ilo sio tatizo la mwanaume. Ukisema mwanaume ajizuie ili kumfaidisha mwenzake maana yake mwanaume hana tatizo isipokua anamfanyia favor mwenzake. Kilele cha tendo ni kufika kileleni sasa kati ya anaewahi na anaechelewa au hafiki kabisa ni nani mwenye tatizo?

Wapo wanawake wanaofika kilele hata ndani ya dakika 5 tu ni suala la uamuzi na utimilifu wa kimaumbile wa mwanamke mwenyewe. Unafanya sex na mwanamke ana maex 7 muda wote wa shughuli anakulinganisha na maex wake, mwanamke ashaalibu afya kwa kula chipsi mayai, piza n.k, mwanamke anawaza utamuachia shilingi ngapi wakati wa kuondoka unategemea nini hapo.

Hii tabia ya kurusha lawama kwa wanaume tu inafanya wanawake wanajisahau na matokeo yake hawataki au hawajui na wao wanatakiwa kuwajibika. Kinachoitwa upungufu wa nguvu za kiume ni stereotype tu kwenye jamii ila tatizo haswa lipo upande wa mwanamke
Uko sahihi.
Wanawake mabikra hawajawahi lalamika kuhusu hili kabisa.
Injili ya Redpill Ihubiriwe kwa wanaume wote.
 
Uko sahihi. Mmoja wa wanawake wanaojitambua JF.
wapunguze kutesa wababa,,wachunguze kwanza wanawake,, unaweza tumia hata masaa mawili na asifike kileleni

Tuna life style mbovu,,kuingiza mavitu huku chini kila kukicha,mara dildo,mara marashi,mara limao,asali ........nk

maumbile yanachoka magonjwa kuvamia..............wacha niache tu,,bado stress za vikoba uuuuweeeeh 😂
 
Sio kweli.
Kwa maandishi haya unaonekana si mtaalam wa afya.
Mwanaume kikawaida kabisa na kiafya anatakiwa kuweza kuhimili tendo ndani ya dakika 5 mpaka 15 tu. Zingine za nyongeza ni kutokana na experience ya mhusika.

Acha kuwadanganya watu , wazungu wameshafanya tafiti za kutosha. Huu ni upotoshaji.
Experience ya nn
 
Back
Top Bottom