Stand up comedy: Comedian Deogratius ana kipaji hasa atafika mbali sana

Stand up comedy: Comedian Deogratius ana kipaji hasa atafika mbali sana

kabila01

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2009
Posts
4,235
Reaction score
4,964
Habarini wakuu

Mara tatu nimefuatilia kipindi cha Stand up Comedy (WATU BAKI) kinachorushwa na channel "Maisha Magic Bongo 160" kupitia king'amuzi cha DSTV.

Nimemuona kijana anaitwa Deogratius ni balaa yaani ikifika session yake wote tuliokaa sitting room tunacheka mpaka tunatoa machozi achilia mbali wale waliopo live pale ukumbini

Kijana huyu akiendelea kukaza buti atafika mbali sana na kuwapita hawa mastaa wakubwa waliopo
 
Habarini wakuu

Mara tatu nimefuatilia kipindi cha Stand up Comedy (WATU BAKI) kinachorushwa na channel "Maisha Magic Bongo 160" kupitia king'amuzi cha DSTV.

Nimemuona kijana anaitwa Deogratius ni balaa yaani ikifika session yake wote tuliokaa sitting room tunacheka mpaka tunatoa machozi achilia mbali wale waliopo live pale ukumbini

Kijana huyu akiendelea kukaza buti atafika mbali sana na kuwapita hawa mastaa wakubwa waliopo
Lipia tangazo hili deo usituchukulie poa!
 
Huyo jamaa ni genius aisee bonge la stand up comedian
Last week ilikua "Mbele za mademu" school ilikua ukiazibiwa mbele za mademu unakaza unajifanya stick haziumi unaonyesha umwamba, ukiadhibiwa mbele ya masela wenzio unalia kishenzi na kulalamika. Hata yesu alipoadhibiwa na pilato kwa kua kulikua na mademu alikaza, akabeba msalaba alipokua njiani akawaona wanawake akakaza akawaambia msinililie mimi lilieni vizazi vyenu na watoto ila alipotokea Simon Yesu akaanguka oyaaa simoni nisaidie msalaba mzito hahahahahahahahahah
 
Habarini wakuu

Mara tatu nimefuatilia kipindi cha Stand up Comedy (WATU BAKI) kinachorushwa na channel "Maisha Magic Bongo 160" kupitia king'amuzi cha DSTV.

Nimemuona kijana anaitwa Deogratius ni balaa yaani ikifika session yake wote tuliokaa sitting room tunacheka mpaka tunatoa machozi achilia mbali wale waliopo live pale ukumbini

Kijana huyu akiendelea kukaza buti atafika mbali sana na kuwapita hawa mastaa wakubwa waliopo
Yani namkubali jamaa ni comedian sana anajua kuunga matukio juzi kanichekesha na mbele ya mademu alivyoiungia kwa Yesu
 
Last week ilikua "Mbele za mademu" school ilikua ukiazibiwa mbele za mademu unakaza unajifanya stick haziumi unaonyesha umwamba, ukiadhibiwa mbele ya masela wenzio unalia kishenzi na kulalamika. Hata yesu alipoadhibiwa na pilato kwa kua kulikua na mademu alikaza, akabeba msalaba alipokua njiani akawaona wanawake akakaza akawaambia msinililie mimi lilieni vizazi vyenu na watoto ila alipotokea Simon Yesu akaanguka oyaaa simoni nisaidie msalaba mzito hahahahahahahahahah
Mkuu hongera sana kwa ulivyoandika unafuatilia sana ,,mwenyewe nafanya naye but he's my finest comedian
 
Huwa nikitaka stand up comedy naenda Churchill show Kenya hapa bongo wanapiga story jukwaani na sio kuchekesha
 
Stand up comedy is meant for middle class people mimi wauswazi utanichekesha nini nicheke
 
Habarini wakuu

Mara tatu nimefuatilia kipindi cha Stand up Comedy (WATU BAKI) kinachorushwa na channel "Maisha Magic Bongo 160" kupitia king'amuzi cha DSTV.

Nimemuona kijana anaitwa Deogratius ni balaa yaani ikifika session yake wote tuliokaa sitting room tunacheka mpaka tunatoa machozi achilia mbali wale waliopo live pale xzukumbini

Kijana huyu akiendelea kukaza buti atafika mbali sana na kuwapita hawa mastaa wakubwa waliopo
Siku na muda wa hicho kipindi na Mimi nimuone
 
Churchill Show tatizo kuna comedians wanatumia slang za ndani za Kikenya sometimes huwa nashindwa kuwaelewa.
Nina comedian wangu wachache na sio wote na slang zao ndo kitu huwa napenda sana
 
Back
Top Bottom