Tetesi: Standard Chartered Bank kufunga operation zake Tanzania

Tetesi: Standard Chartered Bank kufunga operation zake Tanzania

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
7,914
Reaction score
10,793
Kuna hii habari kwamba Standard Chartered Bank wanataka kufungasha vilago ikoje?

Kama ni kweli, Juzi kati tuliambiwa, mama kayafufua mabenki hili halijafufuka?.

NB; Standard Chartered Bank ni banker wangu
 
Kuna hii habari kwamba Standard Chartered Bank wanataka kufungasha vilago ikoje?

Kama ni kweli, Juzi kati tuliambiwa, mama kayafufua mabenki hili halijafufuka?.

NB; Standard Chartered Bank ni banker wangu
Bila katiba Mpya wataondoka wengi. Maana hawa maRC wanaokwenda kuwakamua pesa kwa lazima kinyume na sheria lazima wakimbie tu
 
NNadhani Standard Chattered Bank ndio walioikopesha serikali ya Magufuli hela za ujezi wa SGR-I. Kumetokea nini tena.
Hatari sana. Mambo ni Magumu mitaji ya ndani.
 
Ukifuatilia wachangiaji wengi, Kuna tatizo mahala nchi hii.

Ifikie hatua Watanzania tujue nini tunataka kwa wakati gani, aliyofanya Nyerere kwa wakati wake yalikua sahihi kwa wakati huo, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Maguful pia.

Tunatakiwa kujua tunataka nini kwa sisi kujikwamua lakini kutwa nzima watu wanalinganisha serikali zilizopita, unafikiri Kuna Rais atakaa Ikulu na kutulia? Atakua anafanya kama anashindana na mtangulizi wake ilihali alitakiwa kupeleka Tanzania mbele bila kujali nani alifanya nini.

Matokeo yake tunadumaa na kuamini maendeleo ni kumzidi mtangulizi wako.

Tuanze kuilinganisha Tanzania na nchi zilizoendelea, tuangalie mataifa ya ulaya, China na Marekani yako wapi, wanapiga hatua gani za kimaendeleo.

Haya Magenge yetu ni hovyo na yanakua kama laana kizazi hadi kizazi.

Kweli mtu anakaa na kusema fulani kaleta maendeleo sio kama fulani, Tanzania ina maendeleo? Shuwain.
 
Bila katiba Mpya wataondoka wengi. Maana hawa maRC wanaokwenda kuwakamua pesa kwa lazima kinyume na sheria lazima wakimbie tu
Kama huna point za kuchangia ni vema unapita tu.
Baadhi ya hoja mnajichanganya ovyo ovyo tu.
 
Back
Top Bottom