Acheni ujingaWatu wa Mikoani kama mnavyotuita tumepata Media kubwa kutoka Singida, ambayo Kwa Sasa inakamata pande zote Tanzania
Umeajiri watangazaji maarufu na wana vipindi Bora sana
Za chini ya kapeti ni kuwa watawang'oa watangazaji muhimu hapa wasafi media hasa timu ya Maulid Kitenge, Diva inasemekana ashatua Standard FM
Watangazaji wengi kutoka media kubwa wapo kwenye mazungumzo ya kuhamia Singida huko standard FM
Hongera standard FM
Huna akiliWatu wa Mikoani kama mnavyotuita tumepata Media kubwa kutoka Singida, ambayo Kwa Sasa inakamata pande zote Tanzania
Umeajiri watangazaji maarufu na wana vipindi Bora sana
Za chini ya kapeti ni kuwa watawang'oa watangazaji muhimu hapa wasafi media hasa timu ya Maulid Kitenge, Diva inasemekana ashatua Standard FM
Watangazaji wengi kutoka media kubwa wapo kwenye mazungumzo ya kuhamia Singida huko standard FM
Hongera standard FM
Singida nzima mwenye akili ni Tundu Lissu tu.Haya ngoja tuone itakuwaje ila sioni mtu akitoka dar kuja Singida kisa standard fm labda wawe na ofisi hapa dar
Sio kweliSingida nzima mwenye akili ni Tundu Lissu tu.
mnamuona delu ni don wa singida?Nayo ni ya 'Delu'?
Mbele ya Hela hata Namanyere watu wanaenda.Haya ngoja tuone itakuwaje ila sioni mtu akitoka dar kuja Singida kisa standard fm labda wawe na ofisi hapa dar