Standard FM ya Singida kuibomoa wasafi Media

Standard FM ya Singida kuibomoa wasafi Media

Watu wa Mikoani kama mnavyotuita tumepata Media kubwa kutoka Singida, ambayo Kwa Sasa inakamata pande zote Tanzania

Umeajiri watangazaji maarufu na wana vipindi Bora sana

Za chini ya kapeti ni kuwa watawang'oa watangazaji muhimu hapa wasafi media hasa timu ya Maulid Kitenge, Diva inasemekana ashatua Standard FM

Watangazaji wengi kutoka media kubwa wapo kwenye mazungumzo ya kuhamia Singida huko standard FM

Hongera standard FM
Huko maswenkeni, nani ataishi?
 
Watu wa Mikoani kama mnavyotuita tumepata Media kubwa kutoka Singida, ambayo Kwa Sasa inakamata pande zote Tanzania

Umeajiri watangazaji maarufu na wana vipindi Bora sana

Za chini ya kapeti ni kuwa watawang'oa watangazaji muhimu hapa wasafi media hasa timu ya Maulid Kitenge, Diva inasemekana ashatua Standard FM

Watangazaji wengi kutoka media kubwa wapo kwenye mazungumzo ya kuhamia Singida huko standard FM

Hongera standard FM
aisee madelu naona anafanya mambo yake fastafasta kabla hajatua mikoba ya vijisenti
 
Duuuu ima piga mawimbi pande zipii ??
haiko standard sana kivile, mawimbi yake kwa sasa yanafika baadhi ya maeneo ya mikoa ya tabora, simiyu, shinyanga na manyara. Bado iko chini sana kupasua anga kama redio one, rfa, east africa na clouds
 
Watu wa Mikoani kama mnavyotuita tumepata Media kubwa kutoka Singida, ambayo Kwa Sasa inakamata pande zote Tanzania

Umeajiri watangazaji maarufu na wana vipindi Bora sana

Za chini ya kapeti ni kuwa watawang'oa watangazaji muhimu hapa wasafi media hasa timu ya Maulid Kitenge, Diva inasemekana ashatua Standard FM

Watangazaji wengi kutoka media kubwa wapo kwenye mazungumzo ya kuhamia Singida huko standard FM

Hongera standard FM
Hii redio kama ni kweli itahusishwa na Mwigulu.
Watanzania akili zao utadhani singida nzima kuna Mwigulu Nchemba tu.
 
Kina diva wakienda standard fm watakutana na azaria aliyekuwa rfa. Naona delu anataka kufanya usajili wa nguvu kwenye hiyo redio
 
Ndo ile ile standard fm au kuna nyingine nisoijua....
Amna watu pale, sema n ww umeikubali kivyako tu.
 
Redio za mikoani hazina vibe kubwa kama redio za dar. Moshi kuna moshi fm, kili fm, sauti ya injili zina vibe kubwa sana mjini moshi na viunga vya mkoa wa kilimanjaro. Pia kuna Kicheko fm inapasua anga mpaka miji ya kanda ya kati. Ingependeza sana TCRA kutoa masafa ya redio iruke hewani nchi nzima wananchi wajichagulie redio za kusikiliza. Bado kuna miji na vijiji redio hazisikiki watu wanaishi bila kupata habari na taarifa, hata hiyo TBC usikikaji wake ni hafifu, hivi vi local redio vipewe leseni ya kwenda hewani umbali mrefu kuwafikia wananchi
 
Back
Top Bottom