matongoburua
Member
- Dec 3, 2013
- 17
- 17
Huko maswenkeni, nani ataishi?Watu wa Mikoani kama mnavyotuita tumepata Media kubwa kutoka Singida, ambayo Kwa Sasa inakamata pande zote Tanzania
Umeajiri watangazaji maarufu na wana vipindi Bora sana
Za chini ya kapeti ni kuwa watawang'oa watangazaji muhimu hapa wasafi media hasa timu ya Maulid Kitenge, Diva inasemekana ashatua Standard FM
Watangazaji wengi kutoka media kubwa wapo kwenye mazungumzo ya kuhamia Singida huko standard FM
Hongera standard FM
Upo wapi tuonane kwanza?Kwanini
aisee madelu naona anafanya mambo yake fastafasta kabla hajatua mikoba ya vijisentiWatu wa Mikoani kama mnavyotuita tumepata Media kubwa kutoka Singida, ambayo Kwa Sasa inakamata pande zote Tanzania
Umeajiri watangazaji maarufu na wana vipindi Bora sana
Za chini ya kapeti ni kuwa watawang'oa watangazaji muhimu hapa wasafi media hasa timu ya Maulid Kitenge, Diva inasemekana ashatua Standard FM
Watangazaji wengi kutoka media kubwa wapo kwenye mazungumzo ya kuhamia Singida huko standard FM
Hongera standard FM
haiko standard sana kivile, mawimbi yake kwa sasa yanafika baadhi ya maeneo ya mikoa ya tabora, simiyu, shinyanga na manyara. Bado iko chini sana kupasua anga kama redio one, rfa, east africa na cloudsDuuuu ima piga mawimbi pande zipii ??
Hii redio kama ni kweli itahusishwa na Mwigulu.Watu wa Mikoani kama mnavyotuita tumepata Media kubwa kutoka Singida, ambayo Kwa Sasa inakamata pande zote Tanzania
Umeajiri watangazaji maarufu na wana vipindi Bora sana
Za chini ya kapeti ni kuwa watawang'oa watangazaji muhimu hapa wasafi media hasa timu ya Maulid Kitenge, Diva inasemekana ashatua Standard FM
Watangazaji wengi kutoka media kubwa wapo kwenye mazungumzo ya kuhamia Singida huko standard FM
Hongera standard FM
leta kwangu cv zako unapita mapema sana...๐Wacha na mimi nitume Cv sasa ๐๐nijaribu bahati yangu
Nami nipo Ngara kwa sasa hapa MurusagambaNipo Ngara
Karibu
Kama nani wa Singida FM ๐leta kwangu cv zako unapita mapema sana...๐
Mimi ni freemasonKama nani wa Singida FM ๐
Wataenda tuu kula totoz nzuri nzuri hukoHaya ngoja tuone itakuwaje ila sioni mtu akitoka dar kuja Singida kisa standard fm labda wawe na ofisi hapa dar