Star Link yaanza kupigwa vita na makampuni ya simu isije Tanzania

Star Link yaanza kupigwa vita na makampuni ya simu isije Tanzania

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Makampuni mawili ya simu sitaki kuyataja wameanza mkakati wa kuhakikisha Star link haiji Tanzania kwa kuhofia ushindani.

Kibaya zaidi wanagawa rushwa na hata juzi walikua na kikao kizito kizito na baadhi ya watu wasio waaminifu kutoka Tcra na maafisa kadhaa wa serikali.

Hebu imagine hawa watu wanakosa tija kiasi cha kuanza mkakati wa kuhakikisha Star Link hawaruhusiwi kuja Tanzania.

Naiomba serikali hili jambo wasilipuuze hata kidogo, tutapoteza mapato tukiacha uwekezaji wenye manufaa kama huo wa Star Link.

Wanafahamu fika kuwa wamezoea kuwaibia watanzania kwa vifurushi vyao uchwara na MB za mchongo lakini wanafahamu fika kuwa Star link wakija litakua ndio kimbilio la watu wengi kwa sababu ya kasi yao ya intaneti na mabando mazuri yanayoeleweka.

Mimi najiuliza tu jamani hamridhiki?Nyie nyie mmeweka mtu wenu kule ttcl analihujumu lile shirika na sasa linaenda kufa rasmi sasa mnakaa vikao vya kuihujumu Starlink isije Tz hii nchi ina baadhi ya watu walafi sana wenye uchu na wasioridhika

Inasikitisha sana kibaya zaidi wapo maafisa wa serikali watu na heshima zao kwasababu wanapewa pesa mamilioni na makampuni ili wazuie starlink isije tz
 
Kwa mfumo wa mambo hapa bongo jamaa watapata shida sana, kama dstv alivyoshikilia soko la ukanda huu, anacheza na wakubwa, starlink nayo itakuja kuwa kama visimbusi vya canal, unanunua huduma toka kenya au nchi jirani walizoruhusu ndo unakuja kutumia huku.

Hapo labda na wao wakubali kula na wakubwa na wakishakubali tu lazima gharama ziwe kubwa yanakua yaleyale
 
Unajua huwezi shindana na teknolojia utazuia leo kesho itakuja tena kwa lazima.

Zamani makanisani simu ilikuwa dhambi kuingia nayo Na tena wengine walikuwa wanalazimisha zizimwe. Lakini leo tunaona viongozi wa dini wakizutumia kuhifadhia vitabu vya nyimbo na hata biblia.

Kulikuwa na typewriters lakini leo tunatumia computer kuchapa, tablets n.k

Watu tulikuwa hatutaki kuhama na kuachana na NOKIA phones lakini leo?

Zamani ilikuwa ni tigo voda airtel tu. Leo ipoje?

Wl
watazuia kwa muda ila si kwa wakati wote
 
Ni makampuni gani hayo usiogope yataje tu uma upate kufahamu umafia huu unavyofanyika.

Lakini mtu mmoja anaitwa Nape anatetea kwa nguvu zote makampuni ya simu kuibia na kudhulumu raia kupitia bando anajulikana tayari. Huyu ni msaliti wa taifa.

Wengine ni nani hao?
 
Makampuni mawili ya simu sitaki kuyataja wameanza mkakati wa kuhakikisha Star link haiji Tz kwa kuhofia ushindani.

Kibaya zaidi wanagawa rushwa na hata juzi walikua na kikao kizito kizito na baadhi ya watu wasio waaminifu kutoka Tcra na maafisa kadhaa wa serikal...
Naomba kufahamishwa mkuu unafuu wa star link unakujaje kwenye gharama za internet?
 
Yaani mimi ningepata nafasi ya kuwa raisi wa hili taifa. Magufuri ni cha mtoto aiseee. Ama nitawanyoosha kwanza nikigundua kwa namna yoyote ile aidha mtumishi wa serikalini ama taasisi binafsi anacheza na mifumo kwa masilahi yake binafsi au kikundi na kuhujumu uchumi wa inchi. Ataozea jela na hukumu ni kifo.

Na sitajali takataka yoyote atakae mtetea nitadeal nae personally atuambie ana masilahi gabi na wizi wa ndugu yake. PUMBAVU SANA.

Taifa linachelewa maendeleo sababu ya machoko wachache sana hili.
 
Ni makampuni gani hayo usiogope yataje tu uma upate kufahamu umafia huu unavyofanyika.

Lakini mtu mmoja anaitwa Nape anatetea kwa nguvu zote makampuni ya simu kuibia na kudhulumu raia kupitia bando anajulikana tayari. Huyu ni msaliti wa taifa.

Wengine ni nani hao?
Fala sana lile jamaa, huwa naombea sana siku lile picha la kuchomolewa pistol lijirudie na safari hii jamaa asikosee shabaha.
 
Back
Top Bottom