kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Makampuni mawili ya simu sitaki kuyataja wameanza mkakati wa kuhakikisha Star link haiji Tanzania kwa kuhofia ushindani.
Kibaya zaidi wanagawa rushwa na hata juzi walikua na kikao kizito kizito na baadhi ya watu wasio waaminifu kutoka Tcra na maafisa kadhaa wa serikali.
Hebu imagine hawa watu wanakosa tija kiasi cha kuanza mkakati wa kuhakikisha Star Link hawaruhusiwi kuja Tanzania.
Naiomba serikali hili jambo wasilipuuze hata kidogo, tutapoteza mapato tukiacha uwekezaji wenye manufaa kama huo wa Star Link.
Wanafahamu fika kuwa wamezoea kuwaibia watanzania kwa vifurushi vyao uchwara na MB za mchongo lakini wanafahamu fika kuwa Star link wakija litakua ndio kimbilio la watu wengi kwa sababu ya kasi yao ya intaneti na mabando mazuri yanayoeleweka.
Mimi najiuliza tu jamani hamridhiki?Nyie nyie mmeweka mtu wenu kule ttcl analihujumu lile shirika na sasa linaenda kufa rasmi sasa mnakaa vikao vya kuihujumu Starlink isije Tz hii nchi ina baadhi ya watu walafi sana wenye uchu na wasioridhika
Inasikitisha sana kibaya zaidi wapo maafisa wa serikali watu na heshima zao kwasababu wanapewa pesa mamilioni na makampuni ili wazuie starlink isije tz
Kibaya zaidi wanagawa rushwa na hata juzi walikua na kikao kizito kizito na baadhi ya watu wasio waaminifu kutoka Tcra na maafisa kadhaa wa serikali.
Hebu imagine hawa watu wanakosa tija kiasi cha kuanza mkakati wa kuhakikisha Star Link hawaruhusiwi kuja Tanzania.
Naiomba serikali hili jambo wasilipuuze hata kidogo, tutapoteza mapato tukiacha uwekezaji wenye manufaa kama huo wa Star Link.
Wanafahamu fika kuwa wamezoea kuwaibia watanzania kwa vifurushi vyao uchwara na MB za mchongo lakini wanafahamu fika kuwa Star link wakija litakua ndio kimbilio la watu wengi kwa sababu ya kasi yao ya intaneti na mabando mazuri yanayoeleweka.
Mimi najiuliza tu jamani hamridhiki?Nyie nyie mmeweka mtu wenu kule ttcl analihujumu lile shirika na sasa linaenda kufa rasmi sasa mnakaa vikao vya kuihujumu Starlink isije Tz hii nchi ina baadhi ya watu walafi sana wenye uchu na wasioridhika
Inasikitisha sana kibaya zaidi wapo maafisa wa serikali watu na heshima zao kwasababu wanapewa pesa mamilioni na makampuni ili wazuie starlink isije tz