Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gharama zikiwa kubwa si unaenda kwenye makampuni ya simu? Acheni kushabikia monopoly.Kwa mfumo wa mambo hapa bongo jamaa watapata shida sana, kama dstv alivyoshikilia soko la ukanda huu, anacheza na wakubwa, starlink nayo itakuja kuwa kama visimbusi vya canal, unanunua huduma toka kenya au nchi jirani walizoruhusu ndo unakuja kutumia huku.
Hapo labda na wao wakubali kula na wakubwa na wakishakubali tu lazima gharama ziwe kubwa yanakua yaleyale
Katika kampuni ambayo imejichokea ni TTCL hadi hurumaHili mimi nililitarajia mapema sanaa, kama ambavyo kuna hujuma kwenye kusambaza vituo vya magari ya kutumia gesi ili kundi fulani la waagiza mafuta liendelee kutunyonya na bei kubwa za mafuta ya magari. Ushauri wangu ni kwamba TTCL watafute namna ya kuingia ubia na huyu Elon Musk kwenye hii kitu, hapo watawaweza hao wahuni wa makampuni ya simu kwa sababu TTCL ni serikali.
Sidhani kama umenielewaGharama zikiwa kubwa si unaenda kwenye makampuni ya simu? Acheni kushabikia monopoly.
1Gb kwa Tsh 570. Yaani gb 1 kwa mia tano sabini badala ya elf2100Acha tu. Nenda kasome namna inafanya kazi utaelewa mkuu. Yaani kwa kifupi tutanunua GB 1 kwa bei nafuu sana.
Mzee fanya kama mwakyembe taja hao watu hukificha wanajua hawajafahamika.Makampuni mawili ya simu sitaki kuyataja wameanza mkakati wa kuhakikisha Star link haiji Tanzania kwa kuhofia ushindani.
Kibaya zaidi wanagawa rushwa na hata juzi walikua na kikao kizito kizito na baadhi ya watu wasio waaminifu kutoka Tcra na maafisa kadhaa wa serikali.
Hebu imagine hawa watu wanakosa tija kiasi cha kuanza mkakati wa kuhakikisha Star Link hawaruhusiwi kuja Tanzania.
Naiomba serikali hili jambo wasilipuuze hata kidogo, tutapoteza mapato tukiacha uwekezaji wenye manufaa kama huo wa Star Link.
Wanafahamu fika kuwa wamezoea kuwaibia watanzania kwa vifurushi vyao uchwara na MB za mchongo lakini wanafahamu fika kuwa Star link wakija litakua ndio kimbilio la watu wengi kwa sababu ya kasi yao ya intaneti na mabando mazuri yanayoeleweka.
Mimi najiuliza tu jamani hamridhiki?Nyie nyie mmeweka mtu wenu kule ttcl analihujumu lile shirika na sasa linaenda kufa rasmi sasa mnakaa vikao vya kuihujumu Starlink isije Tz hii nchi ina baadhi ya watu walafi sana wenye uchu na wasioridhika
Inasikitisha sana kibaya zaidi wapo maafisa wa serikali watu na heshima zao kwasababu wanapewa pesa mamilioni na makampuni ili wazuie starlink isije tz
Pole Mwamba najua umeumia Ila huo ni Mpango wa CIA Kwenye program Yao kupambana na Beijing katika Technology hivyo hapo wanahonga kupitia kampuni za simu zilizopo Tz kuitisha vikao vya Siri na Wafanyakazi wa Umma watumie NGUVU kubwa kuikataa hiyo kampuni Maana ikiingia Share holder wa kampuni hizo wenye interest na USA watafilisika maana kampuni hiyo Ikipenya itaua Technology ya USA na Mfumo wa Upelelezi wao.Makampuni mawili ya simu sitaki kuyataja wameanza mkakati wa kuhakikisha Star link haiji Tanzania kwa kuhofia ushindani.
Kibaya zaidi wanagawa rushwa na hata juzi walikua na kikao kizito kizito na baadhi ya watu wasio waaminifu kutoka Tcra na maafisa kadhaa wa serikali.
Hebu imagine hawa watu wanakosa tija kiasi cha kuanza mkakati wa kuhakikisha Star Link hawaruhusiwi kuja Tanzania.
Naiomba serikali hili jambo wasilipuuze hata kidogo, tutapoteza mapato tukiacha uwekezaji wenye manufaa kama huo wa Star Link.
Wanafahamu fika kuwa wamezoea kuwaibia watanzania kwa vifurushi vyao uchwara na MB za mchongo lakini wanafahamu fika kuwa Star link wakija litakua ndio kimbilio la watu wengi kwa sababu ya kasi yao ya intaneti na mabando mazuri yanayoeleweka.
Mimi najiuliza tu jamani hamridhiki?Nyie nyie mmeweka mtu wenu kule ttcl analihujumu lile shirika na sasa linaenda kufa rasmi sasa mnakaa vikao vya kuihujumu Starlink isije Tz hii nchi ina baadhi ya watu walafi sana wenye uchu na wasioridhika
Inasikitisha sana kibaya zaidi wapo maafisa wa serikali watu na heshima zao kwasababu wanapewa pesa mamilioni na makampuni ili wazuie starlink isije tz
Mtu anatiwa ndani na nahakikisha hatoboi. 🤣 Atapigwa Pollonium tu akiwa jela. Akitoka nje miezi 6 mingi lazma alambe futi 6! Hivyo ndo namna ya ku deal na wasaliti.Yaani mimi ningepata nafasi ya kuwa raisi wa hili taifa. Magufuri ni cha mtoto aiseee. Ama nitawanyoosha kwanza nikigundua kwa namna yoyote ile aidha mtumishi wa serikalini ama taasisi binafsi anacheza na mifumo kwa masilahi yake binafsi au kikundi na kuhujumu uchumi wa inchi. Ataozea jela na hukumu ni kifo.
Na sitajali takataka yoyote atakae mtetea nitadeal nae personally atuambie ana masilahi gabi na wizi wa ndugu yake. PUMBAVU SANA.
Taifa linachelewa maendeleo sababu ya machoko wachache sana hili.
What is the full capacity mzae? Kila mtu anatumia internet kwa kiwango chake. Huwezi mpangia mtu atumieje data.Wote waliotajwa wamevimbirwa tuu.
Nasi tunapenda mavitu makubwa tu wakati matumizi yake yanaweza kuwa ya kihasara hasara...Sidhani kama tunatumia teknolojia iliyopo at full capacity pompous!
Kwahio bei mitandao yote itarudi kuuza 1GB tsh 500 ili iendelee kubakia sokoni. Maana wanafosi kuuza GB 1 kwa equivalent ya dollar 11Gb kwa Tsh 570. Yaani gb 1 kwa mia tano sabini badala ya elf2100
Wanafosi sio kidogo!Kwahio bei mitandao yote itarudi kuuza 1GB tsh 500 ili iendelee kubakia sokoni. Maana wanafosi kuuza GB 1 kwa equivalent ya dollar 1
Bill Gates kupitia computer 4 Africa alimwaga kila aina ya kompyuta Barani Afrika na kama sikosei hata hapa kwetu Tanzania tulifaidika na aina fulani ya misaada hiyo, iwe ni zile Desktops au laptops n.k . Nafikiri tunaweza kubaliana kuwa matamanio ya wote,yaani Bill na Serikali yetu ni kuona Wananchi/Wanafunzi au wale waliokuwa mbali na miji wanapata Taarifa kupitia hii Internet pamoja na faida zake zingine zinazokuja na teknolojia hiyo. Kwa kifupi, mathalani Katiba yetu ingekuwa ipo Digital au ipo digital hivi unataka kuniambia unahitaji miaka mitatu kuisoma na kuilewa? pointi ni uwepo wa hii teknolojia halafu ndio unakuta haijatumiwa at Full capacity, sawa na teknolojia nyingine kama kulima kwa pembejeo za kuswagwa na Ng'ombe na bado tukashindwa kufikia capacity ile ambayo wenzetu walitumia kufika walikofika katika ukulima hadi uzalishaji wa ghafi zake. Sasa leo hii unataka Starlink? Na sisemi hakuna uhitaji, nasema, Je, tumetumia hata hizo fiber or what have you za kurusha na kupokea mawasiliano ya Internet to a capacity tukasema , 'we have made strides' tunataka hiyo starlink kwa nini? Kuleta ushindani? Kupunguza bando tu?😅😂What is the full capacity mzae? Kila mtu anatumia internet kwa kiwango chake. Huwezi mpangia mtu atumieje data.
tulishaambiwa 2025 tuchague viongozi vizuri, tuchague wale watakaotusaidia, hawa wasiotusaidie tangu tumeanza kulia suala la bando, tuwaweke pembeni.Makampuni mawili ya simu sitaki kuyataja wameanza mkakati wa kuhakikisha Star link haiji Tanzania kwa kuhofia ushindani.
Kibaya zaidi wanagawa rushwa na hata juzi walikua na kikao kizito kizito na baadhi ya watu wasio waaminifu kutoka Tcra na maafisa kadhaa wa serikali.
Hebu imagine hawa watu wanakosa tija kiasi cha kuanza mkakati wa kuhakikisha Star Link hawaruhusiwi kuja Tanzania.
Naiomba serikali hili jambo wasilipuuze hata kidogo, tutapoteza mapato tukiacha uwekezaji wenye manufaa kama huo wa Star Link.
Wanafahamu fika kuwa wamezoea kuwaibia watanzania kwa vifurushi vyao uchwara na MB za mchongo lakini wanafahamu fika kuwa Star link wakija litakua ndio kimbilio la watu wengi kwa sababu ya kasi yao ya intaneti na mabando mazuri yanayoeleweka.
Mimi najiuliza tu jamani hamridhiki?Nyie nyie mmeweka mtu wenu kule ttcl analihujumu lile shirika na sasa linaenda kufa rasmi sasa mnakaa vikao vya kuihujumu Starlink isije Tz hii nchi ina baadhi ya watu walafi sana wenye uchu na wasioridhika
Inasikitisha sana kibaya zaidi wapo maafisa wa serikali watu na heshima zao kwasababu wanapewa pesa mamilioni na makampuni ili wazuie starlink isije tz