Star times na usumbufu/utapeli wao

Star times na usumbufu/utapeli wao

mie mwenzenu wa wapi , nimeinunua leo ila mpk muda huu inasumbua wala cpati channel yeyote, nikijaribu automatic search inasema reseived channel is 0, channel list is empty, ht nikijaribu process za manual kupata hiyo itv na eatv nayo sipati kitu, hapa nataka kesho niende tena kastama kea nikawaelezee tatizo langu, any help plz b4 cjaenda huko?? ... mie niko mwanza , maeneo ya chuo SAUT, malimbe
 

Ni kweli Kaka sasa hazipatikani wame block.Sijajua sababu ya wao ku block.Tusubirie tuone nini kitaendelea.Pole kwa usumbufu.
 
Kwani customer care ni wachina? kwasababu yeye katengeneza anaye takiwa kuifanya ifanye kazi na kuiactivate ni mtu mwingine tena ni mbongo ndio kazi yake ewe unasema mchina amekujaje hapo,, wabongo tuache uzembe bwana
 
Mi nilishajifunza kitu... ukiona bidhaa imeingia Bongo ikapewa promo ya nguvu..... ghafla na kuanza kuuzwa kwa bei ya mchekea bac.. we cha kufanya ipe miezi sita.... wala usiwe na wasiwasi wa kupanda bei (kizuri ni kizuri tu) ukikimbilia umeumia... kwani wa bongo ni watu wa kukurupuka katika biashara zao na kutaka faida ya haraka .. ndio maana wanatuumiza....... we umeona wapi digital unatakiwa kutumia antena ya kuzungusha..... wanaosema hiyo startimes ni mbadala wa DSTV .. naomba wasubiri miaka kumi mingine...... DSTV mbali na mapungufu yao lakini u get what u deserve (90%) na ni kweli wako ghali... lakini ni bora kuliko hawa pain in the ass.
 
Mbona kwenye usumbufu haujasema kitu? Anyway,wenyewe wame enable bila kutangazia watu wao ndio wameiba na watu ni watafiti wamgundua na wanatumia matunda ya ugunduzi wao.
Leta elimu hiyo...
 
Wana jf mtakuwa ama mumeona au hata kununua vingamuzi (decoder) na antena za kampuni ya star times ambayo ni mshiriki wa tbc katika mambo ya tv. Jirani yangu alinunua decoder hiyo kwa shs. 79,000.= na akaelekezwa namna ya kufunga na kuanza kutumia/kupata picha. Kifupi ilimchukua siku 9 (baada ya kutemebelea duka lao mara 4 pale msimbazi road karibu na polisi station) ndipo alipoanza kuona picha. Kifupi wale pale wanakuuzia na nadhani hawapeleki taarifa huko tbc mwenge ambako naambiwa ndo hasa wana "activate" decoder ile. Swali: Kwa nini wanakuwa wazembe kiasi hicho. Kwa nini wanamuibia mteja kwa kutomuwezesha kuona tv kwa siku 9? Kibaya zaidi ukipiga nmaba za customer care hakuna hata moja inayopokelewa na unapojaribu kuongeza airtime pia simu zao hazifanyi kazi. Jamani wachina na tbc ya mheshimiwa sana wa wizara ya habari...

ATN ARE BESTS NO LONGOLONGO (ATN DECODER IS 100% WORKING ONCE YOU BUY FROM THEM/AGENTS):smile-big:
 
mkuu tunaomba utujuze kuhusu Decoder za ATN, Channels zipi zinapatikana na coverage yake ikoje? mfano Kimara au mbezi?
 
Mimi waliniuzia mchina orijino ikabuma baada ya mwezi niliporudi kaunta hawakunipa maelezo zaidi ya kunipatia king'amuzi kipya.
ila nikashangaa hata nilipowauliza tatizo hawakuwa tayari kunijibu.
 
Mimi waliniuzia mchina orijino ikabuma baada ya mwezi niliporudi kaunta hawakunipa maelezo zaidi ya kunipatia king'amuzi kipya.
ila nikashangaa hata nilipowauliza tatizo hawakuwa tayari kunijibu.


Teheee teheee, mimi Chanel 10 nasikia Tv na radio Magic hapo hapo kwa pamoja na nikiondoa kwa njia ya kawaida inakataaa, nimeenda pale Msimbazi wameniambia nipeleke kile king'amuzi mikocheni wanibadilishie au wanitengeenezee wanasema inawezekana kikawa kibofu nilinunua mwezi wa 5! Jamaa uhuni mtupu, channel zenyewe full kuscrachi.
 
Teheee teheee, mimi Chanel 10 nasikia Tv na radio Magic hapo hapo kwa pamoja na nikiondoa kwa njia ya kawaida inakataaa, nimeenda pale Msimbazi wameniambia nipeleke kile king'amuzi mikocheni wanibadilishie au wanitengeenezee wanasema inawezekana kikawa kibofu nilinunua mwezi wa 5! Jamaa uhuni mtupu, channel zenyewe full kuscrachi.

Halafu kama kawaida ya wafanyabiashara matapeli, unaporudisha Decoder sio kwamba wanairudisha store, la hasha, wanaiweka pale pale ili waje kumbambikizia mteja mwingine waone naye itakuwaje which means inaweza ikawa mzunguko mmoja mrefu wa usumbufu...!

 
jamani nataka kwenda kununua startimes je zile chanel za kuchakachua bado zinapatikana
 
mie mwenzenu wa wapi , nimeinunua leo ila mpk muda huu inasumbua wala cpati channel yeyote, nikijaribu automatic search inasema reseived channel is 0, channel list is empty, ht nikijaribu process za manual kupata hiyo itv na eatv nayo sipati kitu, hapa nataka kesho niende tena kastama kea nikawaelezee tatizo langu, any help plz b4 cjaenda huko?? ... mie niko mwanza , maeneo ya chuo SAUT, malimbe

Sio star tu ndugu yangu hata hao Easy TV. Mtu analipia hizo montly installments lakini channels hapati. Nchi hii wizi mtupu.
 
Setup ni kuwa
1.Click Menu button kisha down arrow key mpaka kwenye Item ya nne itakupatia Two Options,Manual and Automatic
2.Click right arrow key ili uende kwenye hizo options kisha uwe kwenye Manual options.
3.Click OK kisha bonyeza 530 kisha Click OK.
4.Ita search na kuonyesha 12channels found.
5.Exit mpaka kwenye Menu kisha ITV,EATV zitaonekana
6.Ukiona ITV na EATV havina sauti bonyenya Track button chini ya Power button kwenye Remote yako mpaka utaona sauti inapatikana.
&.Waambie na wengine.

Nakutakia kila la heri
Nitaenda kuijaribu hii, vipi kuhusu Startv
 
Kingamuzi hakisumbui na kinaonyesha vizuri ila mi kidogo sikukipenda kwa kuwa sikuwa naweza kukitumia kuona EATV na ITV.

Thanks trace kwa shule
 
Duh! kaazi kwelikweli! si tulijua nyie wa mjini mnafaidi kwa bei nafuu, kumbe mnachakachuliwa vilevile! Huku kwetu hakuna cha sta tymz, bila dstv maisha magumu-unalipa huku unalia...! MAUMIVU.
 
Back
Top Bottom