Angalizo;Lissu hana ushahidi, anaishia kuamini tu kwamba Makonda anahusika. Ushahidi wa mahakamani uko very technical, mambo ya imani peleka kwa Mwamposa huko
Makonda si yupo, na yeye aombe airtime akaweke utetezi sawa kwamba si yeye aliyeongoza lile genge la wahalifu.Naona Start TV wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.
Nashauri Makonda au watu wengine waoiokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.
Sijui kama Chief Odemba na Star TV wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.
Hivi kwa mtazamo wako unaona Makonda anaweza kumshtaki mtu na kushinda ilihali yeye mwenyewe ni mshtakiwq katika kila sektaNaona Start TV wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.
Nashauri Makonda au watu wengine waoiokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.
Sijui kama Chief Odemba na Star TV wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.
All in all UWT mnafanya kazi nzuri sn ya kusifiaBawacha, mnaandaa lini drama ya kuvuliwa nguo?
Lissu hana ushahidi, anaishia kuamini tu kwamba Makonda anahusika. Ushahidi wa mahakamani uko very technical, mambo ya imani peleka kwa Mwamposa huko
StarTv na Odemba ndio wametoa forum ya kutolea kashfa na matusi
Burden of proof lies one the one who alleges as per section 110 of the evidence act (cap 6 R. E. 2019), pale mahakamani, kazi ya makonda ni ku-allege defamation, sasa Lissu, Odemba na StarTv wathibitishe kwamba Makonda alikuwepo..kweli.
..lakini aliyetoa tuhuma dhidi ya Makonda ni Tundu Lissu.
..Makonda ajitokeze akanushe tuhuma za Lissu.
..pia Makonda aeleze alikuwa wapi siku anayotuhumiwa kuwa alikuwa Dodoma kuongoza shambulizi dhidi ya Lissu.
..Makonda akitoa ushahidi kwamba hakuwepo Dodoma wakati wa shambulizi tuhuma za Lissu zitakosa uzito.
Naona Start TV wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.
Nashauri Makonda au watu wengine wanaokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.
Sijui kama Chief Odemba na Star TV wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.
Burden of proof lies one the one who alleges as per section 110 of the evidence act (cap 6 R. E. 2019), pale mahakamani, kazi ya makonda ni ku-allege defamation, sasa Lissu, Odemba na StarTv wathibitishe kwamba Makonda alikuwepo
Wanaogopa kutoka, baridii!Wawashitaki ili ukweli ujulikane
Hii haifuti daima ni kumbukumbu ya kuonyesha uhalisia wa mtu