Star TV na Chief Odemba wanaweza kushtakiwa na Paul Makonda kwa kukashifu, na wakalipa mabilioni ya shilingi

Star TV na Chief Odemba wanaweza kushtakiwa na Paul Makonda kwa kukashifu, na wakalipa mabilioni ya shilingi

Lissu hana ushahidi, anaishia kuamini tu kwamba Makonda anahusika. Ushahidi wa mahakamani uko very technical, mambo ya imani peleka kwa Mwamposa huko
Angalizo;
Jinai haina ukomo..... there is a day!!!
 
Naona Start TV wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.

Nashauri Makonda au watu wengine waoiokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.

Sijui kama Chief Odemba na Star TV wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.
Makonda si yupo, na yeye aombe airtime akaweke utetezi sawa kwamba si yeye aliyeongoza lile genge la wahalifu.
 
Naona Start TV wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.

Nashauri Makonda au watu wengine waoiokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.

Sijui kama Chief Odemba na Star TV wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.
Hivi kwa mtazamo wako unaona Makonda anaweza kumshtaki mtu na kushinda ilihali yeye mwenyewe ni mshtakiwq katika kila sekta
 
Au yeye mwenyewe anaweza kudili nao kama Clouds🫏

1000014360.jpg
 
Lissu hana ushahidi, anaishia kuamini tu kwamba Makonda anahusika. Ushahidi wa mahakamani uko very technical, mambo ya imani peleka kwa Mwamposa huko

..kwanini POLISI hawatoi ripoti hata ya awali ya uchunguzi kwamba Makonda hahusiki, na nani wanahisi anahusika?
 
..kwanini POLISI hawatoi ripoti hata ya awali ya uchunguzi kwamba Makonda hahusiki, na nani wanahisi anahusika?
Hicho ndio kibali cha Odemba na genge lake la wahuni kusambaza kashfa?
 
StarTv na Odemba ndio wametoa forum ya kutolea kashfa na matusi

..kweli.

..lakini aliyetoa tuhuma dhidi ya Makonda ni Tundu Lissu.

..Makonda ajitokeze akanushe tuhuma za Lissu.

..pia Makonda aeleze alikuwa wapi siku anayotuhumiwa kuwa alikuwa Dodoma kuongoza shambulizi dhidi ya Lissu.

..Makonda akitoa ushahidi kwamba hakuwepo Dodoma wakati wa shambulizi tuhuma za Lissu zitakosa uzito.
 
..kweli.

..lakini aliyetoa tuhuma dhidi ya Makonda ni Tundu Lissu.

..Makonda ajitokeze akanushe tuhuma za Lissu.

..pia Makonda aeleze alikuwa wapi siku anayotuhumiwa kuwa alikuwa Dodoma kuongoza shambulizi dhidi ya Lissu.

..Makonda akitoa ushahidi kwamba hakuwepo Dodoma wakati wa shambulizi tuhuma za Lissu zitakosa uzito.
Burden of proof lies one the one who alleges as per section 110 of the evidence act (cap 6 R. E. 2019), pale mahakamani, kazi ya makonda ni ku-allege defamation, sasa Lissu, Odemba na StarTv wathibitishe kwamba Makonda alikuwepo
 
Naona Start TV wanaruhusu Odemba, mwandishi wao aendeshe vipindi vya kukashifu bila hata kutoa haki ya kusikiliza upande wa pili.

Nashauri Makonda au watu wengine wanaokashifiwa na Odemba katika kujitafutia umaarufu binafsi na wa chama chake cha chadema, sasa wamburuze Mahakamani ili walipe fidia.

Sijui kama Chief Odemba na Star TV wamejipima vya kutosha kabla ya kutoa taarifa za kutukana watu hadharani.

Makonda hana huo ubavu kwa vile ni mhusika 100 %. Lissu alishaweka wazi lakini kauchuna utafikiri hasikii ... anajifanya ni CHURA KIZIWI mtoto.
 
Burden of proof lies one the one who alleges as per section 110 of the evidence act (cap 6 R. E. 2019), pale mahakamani, kazi ya makonda ni ku-allege defamation, sasa Lissu, Odemba na StarTv wathibitishe kwamba Makonda alikuwepo

..Makonda pia anadai hakuhusika kumshambulia Lissu hivyo burden of proof ipo kwake pia, aeleze alikuwa wapi, akifanya nini, siku ya tukio.
 
Back
Top Bottom