Mbona kwa hili Chief Odemba hajamkashifu po pote Mr Makonda. Alichofanya ni kumuhemesha Tundu Lissu kuwa hana ushahidi wo wote dhidi ya Makonda na kwamba hata hiyo kesi yake huko London haina mashiko. Yaani kamtoa jasho Tundu Lissu ile mbaya. Kaweka
wazi kuwa ikitokea Makonda akamburuza Tundu Lissu mahakamani kwa defamation case atashinda kesi asubuhi na Tundu Lisu kulazimika kumlipa Makonda mabillioni ya pesa.
Hivyo Odemba kwa hapa yuko upande wa Makonda na serikali ya Tanzania. Msikilize hapa alipomuweka kiti moto huyu mbeligiji Tundu Lissu:
View: https://youtu.be/NmCLLvYBXQE?si=sjjsAJKHNBVdKp_4
EEEEeeeennnHEEEeeeee!
Nenda kamdanganye Makonda akatafute hayo mabilioni halafu atakumegea fungu kwa ushauri wako mzuri ulioma wewe.
Tatizo ni yeye ndiye itabidi ajibu maswali mahakamani, na siyo wewe..