STAR WA BONGO MOVIE SAJUKI ALIHITAJI Sh. 21M tu Kurudi INDIA kwa MATIBABU zaidi...

STAR WA BONGO MOVIE SAJUKI ALIHITAJI Sh. 21M tu Kurudi INDIA kwa MATIBABU zaidi...

Siku hizi HIV inasababisha baadhi ya wagonjwa kuwa wanaishiwa damu... watafanyiwa transfusions wee mwisho wa siku ntoleee.....
 
Eeh! Walijitakia wenyewe? Makubwa tena haya

RIP Sajuki, Mungu aendelee kukupa moyo wa subira Wastara, pole sana

Mkuu ugonjwa wa Sajuki ni zaidi ya uujuavyo. Hata angekaa India miaka kumi lazima angekufa tu. Si vizuri kumlaumu marehemu ila kifo hiki pamoja na ajali ya mkewe walijitakia wenyewe.
Wanadamu wabayaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Mkuu ugonjwa wa Sajuki ni zaidi ya uujuavyo. Hata angekaa India miaka kumi lazima angekufa tu. Si vizuri kumlaumu marehemu ila kifo hiki pamoja na ajali ya mkewe walijitakia wenyewe. Wanadamu wabayaaaaaaaaaaaaaaaa
Mkuu Bitabo kwani shida ilkua nini jamani?? RIP Sajuki Pole sana Wastara na familia
 
Mkuu ugonjwa wa Sajuki ni zaidi ya uujuavyo. Hata angekaa India miaka kumi lazima angekufa tu. Si vizuri kumlaumu marehemu ila kifo hiki pamoja na ajali ya mkewe walijitakia wenyewe.
Wanadamu wabayaaaaaaaaaaaaaaaa

We bwana hebu tema mate chini...
 
Kuna anayejua gharama za maziko? naona hata rambirambi imekua siri.............
 
Back
Top Bottom