Star wa Brasil (IZA) Amchana Diamond kwa Kucopy Idea ya Video ya Wimbo wake na kuitumia kwenye GERE

Plagiarism inaruhusiwa kwa asilimia Fulani , mara nyingi 30% na kushuka chini, lakini haitakiwi kuvuka hapo , Kama mondi amevuka iko kiwango Basi itakuwa amefanya makosa na icho sio kitu sahihi Cha kukitetea,
Mzee baba acha kuzungukazunguka nitajie video yoyote ya hapa bongo ambayo haifanani kimaudhui na video yoyote duniani.
 
Mondi ni mwanamuziki mkubwa sasahivi inabidi awe makini kwenye kazi zake ,kuliko kuanza kujiringanisha na wanabongo fleva wenzake kwenye kufanya muziki , hiyo benchmark yy alishaivuka
 
Diamond anawezaje kuangalia video zote za duniani?Kama ndio njia unayotumia kumchafua diamond basi unakosea badala yake unafanya ngoma hii ya diamond iwe maarufu zaidi
Anatakiwa kabla ya kuitoa aiweke hiyo video yake kwenye plagiarism checker
 
IZA - BRISA vs TANASHA X DIAMOND PLATNUMZ - Gere

Tofauti zipo ktk Beats, saxaphone, playa / beach, boat scene / buque barco, Dance / Bailamos.

Hitimisho : Hazifanani
 

😂😂😂😂😂😂😂😂😂......HATAR SANA..MASHABIK KINDAKI NDAKI HAO
 
Video ina View 80m ndani ya miezi 10 unasema hafahamiki, eti imkopiwaje mnakosaga cha kutetea inafikia hatua unaongea pumba

Mwaga povu...usikubali akuchukulie poa..kimaandaz andazi
 
Huyu msanii uwezo binafsi ndio umeishia hapo.. Kabakiza kukopy na kuimba matusi.. nawashauri wamfungulie mashtaka ya hati miliki ili alipe fine iwe funzo kwa wasanii makanjanja kama yeye..

Vangosha....
 
Plagiarism inaruhusiwa kwa asilimia Fulani , mara nyingi 30% na kushuka chini, lakini haitakiwi kuvuka hapo , Kama mondi amevuka iko kiwango Basi itakuwa amefanya makosa na icho sio kitu sahihi Cha kukitetea,
Inaonekana video zote mbili ujaziona hiyo ya Iza pamoja na mondi au umeiona ya mondi pekee ya Iza ujaiona so kaziangalie alafu unipe mrejesho
 

Diamond Kaishiwa idea na Kik Zimemkataa kwa sasa anachofanya ni kucopy ili aibue mijadara, Jamaa uwezo wake unaporomoka kwa kasi sana
Davido na label yake DMW ina maana nao watakuwa wameishiwa idea? Kwenye mziki vitu vinavyolindwa kisheria melody,mashairi na biti.

Video watu kibao wanarudia.Hiyo video ni ya msanii ambaye yupo chini ya label ya Davido DMV B-Red imetoka mwaka huu ,nyimbo dollar-B-Red ft Davido and Perruzi,kuna sehemu wamerudia kipande cha video ya African beauty ya Diamond platnumz.

 
Atapia huyo Iza kwenye Huo Huo
wimbo anayosema kaibiwa na mondi Kuna scenes 3 kakopy kwenye wimbo wa baby boy ya Beyonce Tena kakopy vile vile kama vilivyo bila atakubadilisha kitu tofauti na mondi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…