The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Plagiarism inaruhusiwa kwa asilimia Fulani , mara nyingi 30% na kushuka chini, lakini haitakiwi kuvuka hapo , Kama mondi amevuka iko kiwango Basi itakuwa amefanya makosa na icho sio kitu sahihi Cha kukitetea,
Mzee baba acha kuzungukazunguka nitajie video yoyote ya hapa bongo ambayo haifanani kimaudhui na video yoyote duniani.