Jamani, kwa ukweli nilikua mamuheshimu sana Stara Thomas, kumbe naye ni walewale tu. Kujiheshimu ni pamoja na kuficha mambo yako ya faragha watu wasiyajue au wayajue lakini wasiamini. Ila sipati picha lile titi akiwa naked huwa anatokelezeaje!
Nimesoma comment ya mwanzo nikajisemea moyoni, jamaa mstaarabu ila comment ya mwisho sasa dah, kweli humu kibok aiseeh
kama mshkaji amempiga chini ni jambo jema he deserve better, Tambaza haijawahi kutoa product zembe ya kuvumilia jinga kama hili stara.aliachika kitambo,so walikutana wote watalaka
kama mshkaji amempiga chini ni jambo jema he deserve better, Tambaza haijawahi kutoa product zembe ya kuvumilia jinga kama hili stara.
stara si ameokoka? dah inakuwa tena hapa! mbona anaongea.mambo haya kana jambo la maujiko? anajizhushia p yake.halafu Matola kesi ya mumewe stara ya pembe za ndovu iliishia wapi?
sikuwahi kujuwa kama stara ni jinga sana kiasi hiki, nimemdharau sana yuko so desperate.
mume wake sina mawasiliano naye ila nikihitaji data zake naweza kupata kwa washikaji ambao tulisoma wote.
stara Thomas sio ----- kujiongelesha mambo hazarani hapo ameulizwa na moja ya chombo cha habari ikabidi aseme wazi ukizingatia kaokoka hawezi kudanganya... amesema ukweli mnamuona boya siyo inshu vijana ... salut stara
ukweli umuweka mtu huru unazani angekataa si mngesema stara kaokoka lakini anaongea uongo mlokole gan anaongea uongo mwache afunguke yalio moyoni yamtokeBAsi walokole wangekuwa wanafanya kama wastara ingekuwa balaa, ujinga tu kwani alishindwa kukataa walahu kuitetea hadh yake kwenye jamii??, kwan hata asingesema nan alikuwa hajui kama alikuwa anagongwa na adam?? Huyu kaanza kuvut bangi sio bure
hebu tuondolee ujinga wako hapa unaijuwa biblia wewe?ukweli umuweka mtu huru unazani angekataa si mngesema stara kaokoka lakini anaongea uongo mlokole gan anaongea uongo mwache afunguke yalio moyoni yamtoke
hebu tuondolee ujinga wako hapa unaijuwa biblia wewe?
we ndo hujielewi m biblia ndo maji ya kunywa kwangu
Kasema ukweli mnabwabwaja angesema uongo mngebwabwaja tena kuwa mlokole gani muongo, ndio walivyo walimwengu.
By the way, marehemu hasemwi kwa ubaya its not good kwa kweli. Alale mahali anapostahiki
Msanii Stara Thomas amefunguka kuhusiana na mahusino yake na aliyekuwa msanii wa bongo movie Adam Kuambiana aliyefariki wikiendi iliyopita na kuzikwa jana kwenye makaburi ya Kinondoni. Stara amesema ni kweli aliwahi kuwa na mahusiano na Kuambiana lakini hata hivyo walitengena kutokana na kupishana baadhi ya tabia.
Anasema mahusiano yao yalianza walipokutana uwanja wa Taifa kwenye moja ya mechi iliyozikutanisha Bongo movie na Bongo flava na katika mahusinao yao hakuwahi kumwambia kama ana mke Zaidi ya kumwambia kuwa amewahi kuoa na ameachana na mke wake kwa talaka. Ni kweli nimewahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Adam,uhusiano ambao ulifika mbali kiasi cha kutambuliwa nyumbani kwao kwa baadhi ya ndugu wakiwemo dada zake na hata babu yake mkubwa lakini hatukuweza kufikia kufunga ndoa kama tulivyokuwa tunafikiria, nakumbuka nilimuuliza kama ana mke akaniambia aliwahi kuoa na ameachana na mke wake alisema Stara.
Amesema moja ya mambo makubwa ambayo walitofautiana ni pamoja na hasira kali kiasi cha kupelekea ugomvi mara kwa mara ,uvutaji wa sigara kupita kiasi wa Kuambiana ambaye hata alipokuwa akimueleza hakuwa akimuelewa, lakini pia kuna hitilafu ziliwahi kutokea kati yao walipokuwa safarini Zanzibar na Morogoro na mwisho akaona hawawezi kuishi kama mke na mume na kuamua kusitisha mahusiano. Unajua Adam alikuwa na kisukari sasa kwa kiasi kikubwa alikuwa anavuta sigara anapokuwa na stress zake na pia alikuwa mtu wa hasira sana,lakini kikubwa ni kutofautiana kwa baadhi ya tabia ambazo nikaona hatuwezi kuendelea na mahusiano yetu nikasitisha rasmi japo yeye mwenyewe aliomba kuwa atajirekebisha lakini ni vitu ambavyo vilikuwa vinajirudia nikaona hapana Stara alisema.
Hata hivyo Stara amesema mbali ya kuwa na tofauti lakini Kuambiana hakuwa muhuni wa kubadili wanawake alikuwa ni mwenye kujiheshimu kwa kiasi kikubwa.
kuna mambo nadhani yanatokea Tanzania tu, sisi hizi hadithi zake stara zinatuhusu nini? nilikuwa namuheshimu kumbe bure kabisa.
imagine wewe ndio umemuoa na unaishi naye halafu mtu anamshobokea marehemu kiasi hiki? gime a break.
Ha ha marehem alianzia kusoma kawe, kisha Tambaza, SA na Uingereza hayo ya Uyahaya mi siyajui mkwe!
Kuna mambo ya kuzungumza ukweli ila siyo mambo ya aibu kiasi hich tena kwa stara thomas aliyeolewa na kudai ameokoka, kwan nani asiyejua apa mjini kama alikuwa ana date na kuambina??, si tunamsitir kwa kuwa anajiheshimu bas na na yeye angeiheshimu jamii kwa kuficha upuuzi wake, au nimsaidie kuongea na mengine ambayo hajayasema kuhusu naniiu??
Mi mwenyewe nilichoka duh, ila sasa ivi kapungua vizur kweli na yupo smart , ila aliniacha hoi tu eti alikuwa ananga'ang'ania msiba wa adam uwekwe kwake, sijui alikuwa anataka umaarufu au ndo mahaba niue, yeye si ana mume?? Asubir wake ndo ang'ang'anie zile zilikuwa mali official za watu, ye alikuwa mchepuko tu, halafu huyu atakuwa anavuta bangi yani utembee na mume wa mtu halafu unajigamba hadharan au ndo anasafisha nyota kupitia marehem, maana naona mwingine kaibuka anadai mareh alikuwa buz lake na alikuwa anakaa kwake yaan vifo ivi vina mambo binamu