Stara Thomas afunguka kuhusu mahusiano yake na the late Adam Kuambiana

Jamani, kwa ukweli nilikua mamuheshimu sana Stara Thomas, kumbe naye ni walewale tu. Kujiheshimu ni pamoja na kuficha mambo yako ya faragha watu wasiyajue au wayajue lakini wasiamini. Ila sipati picha lile titi akiwa naked huwa anatokelezeaje!

Nimesoma comment ya mwanzo nikajisemea moyoni, jamaa mstaarabu ila comment ya mwisho sasa dah, kweli humu kibok aiseeh
 
Teh teh teh Bongo tambarare eti niliwahi sikia kumtaja marehemu kwa jina vibaya sana.
 
kama mshkaji amempiga chini ni jambo jema he deserve better, Tambaza haijawahi kutoa product zembe ya kuvumilia jinga kama hili stara.

stara si ameokoka? dah inakuwa tena hapa! mbona anaongea.mambo haya kana jambo la maujiko? anajizhushia p yake.halafu Matola kesi ya mumewe stara ya pembe za ndovu iliishia wapi?
 
Last edited by a moderator:
stara si ameokoka? dah inakuwa tena hapa! mbona anaongea.mambo haya kana jambo la maujiko? anajizhushia p yake.halafu Matola kesi ya mumewe stara ya pembe za ndovu iliishia wapi?

sikuwahi kujuwa kama stara ni jinga sana kiasi hiki, nimemdharau sana yuko so desperate.

mume wake sina mawasiliano naye ila nikihitaji data zake naweza kupata kwa washikaji ambao tulisoma wote.
 
Last edited by a moderator:
sikuwahi kujuwa kama stara ni jinga sana kiasi hiki, nimemdharau sana yuko so desperate.

mume wake sina mawasiliano naye ila nikihitaji data zake naweza kupata kwa washikaji ambao tulisoma wote.

yap alikamatwa na pembe za ndovu akiwa na mwenzie sikumbuki ni mwaka gani but wa2005's nakumbuka hyo habaro ilihit sana maana zilikuwa ni tons kadhaa kwenye contena
 
stara Thomas sio ----- kujiongelesha mambo hazarani hapo ameulizwa na moja ya chombo cha habari ikabidi aseme wazi ukizingatia kaokoka hawezi kudanganya... amesema ukweli mnamuona boya siyo inshu vijana ... salut stara
 
stara Thomas sio ----- kujiongelesha mambo hazarani hapo ameulizwa na moja ya chombo cha habari ikabidi aseme wazi ukizingatia kaokoka hawezi kudanganya... amesema ukweli mnamuona boya siyo inshu vijana ... salut stara

BAsi walokole wangekuwa wanafanya kama wastara ingekuwa balaa, ujinga tu kwani alishindwa kukataa walahu kuitetea hadh yake kwenye jamii??, kwan hata asingesema nan alikuwa hajui kama alikuwa anagongwa na adam?? Huyu kaanza kuvut bangi sio bure
 
BAsi walokole wangekuwa wanafanya kama wastara ingekuwa balaa, ujinga tu kwani alishindwa kukataa walahu kuitetea hadh yake kwenye jamii??, kwan hata asingesema nan alikuwa hajui kama alikuwa anagongwa na adam?? Huyu kaanza kuvut bangi sio bure
ukweli umuweka mtu huru unazani angekataa si mngesema stara kaokoka lakini anaongea uongo mlokole gan anaongea uongo mwache afunguke yalio moyoni yamtoke
 
ukweli umuweka mtu huru unazani angekataa si mngesema stara kaokoka lakini anaongea uongo mlokole gan anaongea uongo mwache afunguke yalio moyoni yamtoke
hebu tuondolee ujinga wako hapa unaijuwa biblia wewe?
 
Kasema ukweli mnabwabwaja angesema uongo mngebwabwaja tena kuwa mlokole gani muongo, ndio walivyo walimwengu.

By the way, marehemu hasemwi kwa ubaya its not good kwa kweli. Alale mahali anapostahiki
 
Kasema ukweli mnabwabwaja angesema uongo mngebwabwaja tena kuwa mlokole gani muongo, ndio walivyo walimwengu.

By the way, marehemu hasemwi kwa ubaya its not good kwa kweli. Alale mahali anapostahiki

Kuna mambo ya kuzungumza ukweli ila siyo mambo ya aibu kiasi hich tena kwa stara thomas aliyeolewa na kudai ameokoka, kwan nani asiyejua apa mjini kama alikuwa ana date na kuambina??, si tunamsitir kwa kuwa anajiheshimu bas na na yeye angeiheshimu jamii kwa kuficha upuuzi wake, au nimsaidie kuongea na mengine ambayo hajayasema kuhusu naniiu??
 

kuna mambo nadhani yanatokea Tanzania tu, sisi hizi hadithi zake stara zinatuhusu nini? nilikuwa namuheshimu kumbe bure kabisa.

imagine wewe ndio umemuoa na unaishi naye halafu mtu anamshobokea marehemu kiasi hiki? gime a break.

Ha ha marehem alianzia kusoma kawe, kisha Tambaza, SA na Uingereza hayo ya Uyahaya mi siyajui mkwe!


Eeeeh sema....
 

Anasafisha nyota.Kumbe yupo mi nilishamsahau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…